Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Tecno ni simu au calculator inayopiga simu na kutuma textTatizo hapo kwa Tecno hata kama una Phantom x watu bado wanaleta dharau...hahahaa
Niuze kichwa sasa haka ka aifon 7 kanitoke mkononi
Aiseeeehniuzie k hio
Sasa itakuwajeMkuu huu uzi kuna bwana kule X iliyokua Twitter anaitwa Francis mtei(inframe_tz) anao kama huu ni wewe? Kama sio basi ingekua vyema ukatoa credit..
Kwakua lengo ni kutoa elimu sio mbaya mkuu.Sasa itakuwaje
Mkuu hata uwe na simu ya gharama ya Mili 2+ kama sio iphone bado utaonekana wa kawaida...lakin ukimili hata iphone 11 unaonekana mjanja...[emoji23]Tatizo hapo kwa Tecno hata kama una Phantom x watu bado wanaleta dharau...hahahaa
Acha umbea dogo niuzie wewe basi unashangaa nini😕Aiseeeeh
Watu wananunua majina,brand na siyo ubora wa hudumaKumbe iPhone 15 plus Ni $899 Halafu ni 128GB 😂 C bora nibaki na pixel 4a 5G yangu niliyonunua kwa 400k
Mpaka unatia rubber band...😂Sijui ni hela sina au ushamba!! Simu huwa natumia hadi iombe poo, ndio nanunua nyingine. Hivi hivi tuuuu, hapana kwakweli.
Kwani wali wa mama Amina si ndio wali/ mchele wake wa Johari Rotana 🤣🤣Kumbe iPhone 15 plus Ni $899 Halafu ni 128GB 😂 C bora nibaki na pixel 4a 5G yangu niliyonunua kwa 400k
Shida pesa kama una 10k ya mawazo lazima wivu utokee akiona mtu 300kKwani wali wa mama Amina si ndio wali/ mchele wake wa Johari Rotana 🤣🤣
Nakubali kiongoz85 percent ya Wauza iPhone
Hawawezi kukwambia SIRI hii
Kwanini?
Subiri nikupe Story,
Nina Ndugu yangu
Kila ikitoka iPhone,
New Model, lazima Aidake!
Na anaidaka ikiwa,
Bado haijapoaa!
My Guess Mwisho wa mwezi huu kabla haujaisha lazima anipigie Simu anipe Umbea kwamba
Anayo mkononi!
Na anachukua the latest Model
Yenye Pro Max - 1TB
Sasa Bhana! Kitu anachofanyia hiyo simu ndio Kinachekesha,
Na hapa ndio watu wengi wanafanya,
"Wrong Investment"
oK, Kwanini?
Kuna Sababu kubwa
Kwanini Apple wanatoa
↳iPhone 15 -$799 (128GB)
↳iPhone 15 Plus - $899 (128GB)
Hizi ni kwaajili ya Watu,
Wa kawaida, ambao-
Matumizi yao sio Makubwa...
Kama:
↳Kuchati Na kupiga cha za hapa na pale!
(Na matumizi mengine ya kawaida)
Linapokuja sasa Swala la
(Pro line up);
↳iPhone 15 Pro - $999 (128GB)
↳iPhone 15 Pro Max - $1199 (256GB)
Hapa tunahama kabisa,
Kwenye Matumizi ya,
Kawaida na ndio maana Kuna neno (PRO)
Pro means- For Proffesionals!
Na ndio maana umeona
Kwenye Uzinduzi wame-
Taja watu wa aina Mbili...
- Photographers
- Videographer/Film Maker!
Sasa wewe na kiranga chako,
ili mradi watu wakuone,
Una iPhone Kubwa...
Unaenda Ku-invest More,
Than 4M kwenye Kitu,
Ambacho hukitumii to the Max,
By the way: Kila nikimkuta,
Ndugu yangu yeye ni,
Akisoma Umbea!
- Snapchat
- Candy Crash Saga...
- Mange Kimambi,
Ona sasa 🥲
Anyway: Okoa Pesa zako,
Acha kwenda kwa Trend...
Alafu pia, Dada yangu!
Hizi ni simu hazina Mwisho,
Linda Utu wako! Kuliko Vyote
Ulindavyo!
Yangu ni hayo tu!
AM OUT!
Kwanza mm nataka wali wa mama amina ili nianze kupambana kufukuza nzi, huku kwa pembeni amina amejinyea harufu yote kwangu, vijiko viwili vyangu vya wali ghafla nakutana na kifo cha mende kwenye maharage, yn hakuna kula kwa amani ndo raha yangu hiyoKwani wali wa mama Amina si ndio wali/ mchele wake wa Johari Rotana 🤣🤣
Mimi naitaka mkuu hahakama hela ipo.. unanunua tu.. kwenda na Tech.. ila pia unaweza ukawa na hela isiwe na ulazima