National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
😅😅 mtu mzito wewe, hiyo ndio hadhi yakoMimi naitaka mkuu haha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅 mtu mzito wewe, hiyo ndio hadhi yakoMimi naitaka mkuu haha
Unaona raha kuwachakaza ,hata wewe unachakaa broooo[emoji28][emoji28][emoji28]Mkuu umeongea ukweli sana..
Ila meseji ipo mistari sita ya mwisho kabisa..
Wasipo kusikia tutawachakaza na hakuna kitu watatufanya
[emoji1666]Kwakua lengo ni kutoa elimu sio mbaya mkuu.
Japo watakwambia haikuhusu ila mimi nakuunga mkono kwa asilimia mia....
Fashonii zitauwa watu...
Mkuu sina hata 80kg uzito upi huo?😅😅 mtu mzito wewe, hiyo ndio hadhi yako
nachopendea iPhone ( brand ) ina ongeza value.. ni sawa unaenda kuomba mradi mwenzako ana VXR V8 na mwingine an Crown Athelete... haya mambo muhimu..Mkuu sina hata 80kg uzito upi huo?
Na wewe umeanza kunitukana?
Any way leo wapi?
Tecno ni kifaa kilichotengenezwa na jing wong wung mwaka alfu mbili na sita, katika jamhuri ya watu wa china.Tecno nayo ni simu!?
Hakuna mgeni mwerevu kama Abigael wa tajiri Naabal enzi za Daud?nachopendea iPhone ( brand ) ina ongeza value.. ni sawa unaenda kuomba mradi mwenzako ana VXR V8 na mwingine an Crown Athelete... haya mambo muhimu..
nasubiri lisaa moja kama dk 30 lipite , pale pale pa siku zote
Pamoja sanaNakubali kiongoz
Njoo, nabutua for freeAcha umbea dogo niuzie wewe basi unashangaa nini[emoji53]
Hakuna mgeni , jumatano leo.. labda ingekuwa ijumaa 😅😅Hakuna mgeni mwerevu kama Abigael wa tajiri Naabal enzi za Daud?
Aahaaaa eti kifaa Cha maongeziTecno ni kifaa kilichotengenezwa na jing wong wung mwaka alfu mbili na sita, katika jamhuri ya watu wa china.
Inasadikika ya kwamba tecno ni kifaa cha maongezi, mpaka sasa hamna ushahidi wowote wa kisayansi kuthibisha ya kwamba tecno ni simu 😁
Kumbe unaliwa free.njoo chap basNjoo, nabutua for free