Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
- Thread starter
- #161
Wanajizima data au sioMitandao hii kaka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanajizima data au sioMitandao hii kaka.
bro mwenyeweCredit toa wewe bro
[emoji16][emoji16]kwevo wa tandaleUpo sahihi quavo
Sawa bro mwenzangubro mwenyewe
Kwevo wa Msongola[emoji16][emoji16]kwevo wa tandale
Maskini wa hela na akili ndo hushindanaga na trends85 percent ya Wauza iPhone
Hawawezi kukwambia SIRI hii
Kwanini?
Subiri nikupe Story,
Nina Ndugu yangu
Kila ikitoka iPhone,
New Model, lazima Aidake!
Na anaidaka ikiwa,
Bado haijapoaa!
My Guess Mwisho wa mwezi huu kabla haujaisha lazima anipigie Simu anipe Umbea kwamba
Anayo mkononi!
Na anachukua the latest Model
Yenye Pro Max - 1TB
Sasa Bhana! Kitu anachofanyia hiyo simu ndio Kinachekesha,
Na hapa ndio watu wengi wanafanya,
"Wrong Investment"
oK, Kwanini?
Kuna Sababu kubwa
Kwanini Apple wanatoa
↳iPhone 15 -$799 (128GB)
↳iPhone 15 Plus - $899 (128GB)
Hizi ni kwaajili ya Watu,
Wa kawaida, ambao-
Matumizi yao sio Makubwa...
Kama:
↳Kuchati Na kupiga cha za hapa na pale!
(Na matumizi mengine ya kawaida)
Linapokuja sasa Swala la
(Pro line up);
↳iPhone 15 Pro - $999 (128GB)
↳iPhone 15 Pro Max - $1199 (256GB)
Hapa tunahama kabisa,
Kwenye Matumizi ya,
Kawaida na ndio maana Kuna neno (PRO)
Pro means- For Proffesionals!
Na ndio maana umeona
Kwenye Uzinduzi wame-
Taja watu wa aina Mbili...
- Photographers
- Videographer/Film Maker!
Sasa wewe na kiranga chako,
ili mradi watu wakuone,
Una iPhone Kubwa...
Unaenda Ku-invest More,
Than 4M kwenye Kitu,
Ambacho hukitumii to the Max,
By the way: Kila nikimkuta,
Ndugu yangu yeye ni,
Akisoma Umbea!
- Snapchat
- Candy Crash Saga...
- Mange Kimambi,
Ona sasa 🥲
Anyway: Okoa Pesa zako,
Acha kwenda kwa Trend...
Alafu pia, Dada yangu!
Hizi ni simu hazina Mwisho,
Linda Utu wako! Kuliko Vyote
Ulindavyo!
Yangu ni hayo tu!
AM OUT!
Ntanunua kichwa. Bei gani?Niuze kichwa sasa haka ka aifon 7 kanitoke mkononi
Tajiri akinunua ambae Kwa mwezi ana uhakika wa pesa hata mara mbili ya hiyo 4M hamna shida. Tatizo ni mtu ambae kuipata hiyo 4M hadi afanye saving hata mwaka mzima halafu anaweka kipaumbele chake kununua iphone 15.85 percent ya Wauza iPhone
Hawawezi kukwambia SIRI hii
Kwanini?
Subiri nikupe Story,
Nina Ndugu yangu
Kila ikitoka iPhone,
New Model, lazima Aidake!
Na anaidaka ikiwa,
Bado haijapoaa!
My Guess Mwisho wa mwezi huu kabla haujaisha lazima anipigie Simu anipe Umbea kwamba
Anayo mkononi!
Na anachukua the latest Model
Yenye Pro Max - 1TB
Sasa Bhana! Kitu anachofanyia hiyo simu ndio Kinachekesha,
Na hapa ndio watu wengi wanafanya,
"Wrong Investment"
oK, Kwanini?
Kuna Sababu kubwa
Kwanini Apple wanatoa
↳iPhone 15 -$799 (128GB)
↳iPhone 15 Plus - $899 (128GB)
Hizi ni kwaajili ya Watu,
Wa kawaida, ambao-
Matumizi yao sio Makubwa...
Kama:
↳Kuchati Na kupiga cha za hapa na pale!
(Na matumizi mengine ya kawaida)
Linapokuja sasa Swala la
(Pro line up);
↳iPhone 15 Pro - $999 (128GB)
↳iPhone 15 Pro Max - $1199 (256GB)
Hapa tunahama kabisa,
Kwenye Matumizi ya,
Kawaida na ndio maana Kuna neno (PRO)
Pro means- For Proffesionals!
Na ndio maana umeona
Kwenye Uzinduzi wame-
Taja watu wa aina Mbili...
- Photographers
- Videographer/Film Maker!
Sasa wewe na kiranga chako,
ili mradi watu wakuone,
Una iPhone Kubwa...
Unaenda Ku-invest More,
Than 4M kwenye Kitu,
Ambacho hukitumii to the Max,
By the way: Kila nikimkuta,
Ndugu yangu yeye ni,
Akisoma Umbea!
- Snapchat
- Candy Crash Saga...
- Mange Kimambi,
Ona sasa 🥲
Anyway: Okoa Pesa zako,
Acha kwenda kwa Trend...
Alafu pia, Dada yangu!
Hizi ni simu hazina Mwisho,
Linda Utu wako! Kuliko Vyote
Ulindavyo!
Yangu ni hayo tu!
AM OUT!
T
Tatizo la iphone bana kuanzia 12, 13, 14 na sasa 15 zote zinafanana sana mtu mpaka umuambie hii ni 14 au 15 ndio atajua 😄
AiseeUnakitu utafika mbali kijana 😅😅😅
Ila nyieeTajiri akinunua ambae Kwa mwezi ana uhakika wa pesa hata mara mbili ya hiyo 4M hamna shida. Tatizo ni mtu ambae kuipata hiyo 4M hadi afanye saving hata mwaka mzima halafu anaweka kipaumbele chake kununua iphone 15.
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
M 5.8😁Ntanunua kichwa. Bei gani?
Lets assume mtu ame save Kwa mwaka 5M na mwingine ka save 1M. Vacation december labda Zanzibar itakula 900,000. Huyu wa 1M utamshauri aende tu au atafute somewhere cheaper?Ila nyiee
Watu mbona wanafanya saving mwaka mzima, ili dec wakatulize akili porini ama nje/ znz/ vacay??
Komwe hamna?? Kwa hiyo bei ole wako kiww na komwe.M 5.8[emoji16]
tabia ya hovyo kabisa...Sasa mkuu kweli unataka hela watafute Wao matumizi uwapangie Wew?