Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Hakina komwe kabisa 🤣🙌Komwe hamna?? Kwa hiyo bei ole wako kiww na komwe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakina komwe kabisa 🤣🙌Komwe hamna?? Kwa hiyo bei ole wako kiww na komwe.
Only if I saved for vacay, hee sioni shida kuimaliza hiyo 1m kwa vacay.Lets assume mtu ame save Kwa mwaka 5M na mwingine ka save 1M. Vacation december labda Zanzibar itakula 900,000. Huyu wa 1M utamshauri aende tu au atafute somewhere cheaper?
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Usimuharibie bhana anasema et yey mtei ndo kaigaMkuu huu uzi kuna bwana kule X iliyokua Twitter anaitwa Francis mtei(inframe_tz) anao kama huu ni wewe? Kama sio basi ingekua vyema ukatoa credit..
Oky I guess tunatofautiana mawazoOnly if I saved for vacay, hee sioni shida kuimaliza hiyo 1m kwa vacay.
Kama uwezo wako mkubwa wa ku save Kwa mwaka ni 1M halafu unapanga vacation itakayokula asilimia 90 ya saving yako. Mi naona hili kama tatizoOnly if I saved for vacay, hee sioni shida kuimaliza hiyo 1m kwa vacay.
Sidhani kama ulinielewa.Kama uwezo wako mkubwa wa ku save Kwa mwaka ni 1M halafu unapanga vacation itakayokula asilimia 90 ya saving yako. Mi naona hili kama tatizo
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Kama uli save kw ajili hiyo tu sawa hamna shida uki spendSidhani kama ulinielewa.
Nilisema kama unasave for vacay, why not usiitumie?
Umesave kwa ajili ya vacay… lielewe hilo
👍Same as kwa wanao save kwa ajili ya simu fulani, ama kitu fulani. SpecificKama uli save kw ajili hiyo tu sawa hamna shida uki spend
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
jibu piemu tuNiuze kichwa sasa haka ka aifon 7 kanitoke mkononi
Mwanzoni nilikuwa nawalenga wanaosave au kutumia pesa nyingi kwa ajili ya simu huku baadhi ya vitu basic wanakosa.[emoji106]Same as kwa wanao save kwa ajili ya simu fulani, ama kitu fulani. Specific
Nimeelewa hoja yako.Mwanzoni nilikuwa nawalenga wanaosave au kutumia pesa nyingi kwa ajili ya simu huku baadhi ya vitu basic wanakosa.
Mfano nimesoma na watu boom lote ananunua iphone halafu anakopa hela ya kula, kulipia chumba au anataka kuchangiwa ada ya semester ambayo ni ndogo mara mbili ya iphone anayomiliki.
Ndo maana ya kutumia neno "tajiri" (lakini nililenga wenye uwezo) na ambao vitu basic wanaweza kutimiza. Huyu hata akisave au akitumia saving kwa ajili ya iphone lakini vitu basic anaweza kujitimizia hamna shida. Ila una save for iphone halafu kodi inakusuburi why usitumie simu ya kawaida tu pesa nyingine ushughulikie vitu basic kama Kodi?
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
jibu piemu tu
Umeshindwa kueleza vizuri, ni kwamba HAWAITAJI HIZO SIMU SABABU HAWANA MATUMIZI NAZO. Hawajui kuzitumia, ni ujinga ata kama una ela kutumia simu ambayo huwezi kuitumia, mimi iphone ni simu nzuri tu ila kwa sasa haina nafasi kwangu sababu siwezi tena ku jail break. Nipo naisubiri pixel 8, hiyo ndio simu, usable, camera ya maana na sasa wameboresha battery na screen. Nafanya vitu zaidi ya iphone na sitoboki mfuko, huo ndio ujanja. Wanaotaka status symbol, ujue ni mental health issue.85 percent ya Wauza iPhone
Hawawezi kukwambia SIRI hii
Kwanini?
Subiri nikupe Story,
Nina Ndugu yangu
Kila ikitoka iPhone,
New Model, lazima Aidake!
Na anaidaka ikiwa,
Bado haijapoaa!
My Guess Mwisho wa mwezi huu kabla haujaisha lazima anipigie Simu anipe Umbea kwamba
Anayo mkononi!
Na anachukua the latest Model
Yenye Pro Max - 1TB
Sasa Bhana! Kitu anachofanyia hiyo simu ndio Kinachekesha,
Na hapa ndio watu wengi wanafanya,
"Wrong Investment"
oK, Kwanini?
Kuna Sababu kubwa
Kwanini Apple wanatoa
↳iPhone 15 -$799 (128GB)
↳iPhone 15 Plus - $899 (128GB)
Hizi ni kwaajili ya Watu,
Wa kawaida, ambao-
Matumizi yao sio Makubwa...
Kama:
↳Kuchati Na kupiga cha za hapa na pale!
(Na matumizi mengine ya kawaida)
Linapokuja sasa Swala la
(Pro line up);
↳iPhone 15 Pro - $999 (128GB)
↳iPhone 15 Pro Max - $1199 (256GB)
Hapa tunahama kabisa,
Kwenye Matumizi ya,
Kawaida na ndio maana Kuna neno (PRO)
Pro means- For Proffesionals!
Na ndio maana umeona
Kwenye Uzinduzi wame-
Taja watu wa aina Mbili...
- Photographers
- Videographer/Film Maker!
Sasa wewe na kiranga chako,
ili mradi watu wakuone,
Una iPhone Kubwa...
Unaenda Ku-invest More,
Than 4M kwenye Kitu,
Ambacho hukitumii to the Max,
By the way: Kila nikimkuta,
Ndugu yangu yeye ni,
Akisoma Umbea!
- Snapchat
- Candy Crash Saga...
- Mange Kimambi,
Ona sasa 🥲
Anyway: Okoa Pesa zako,
Acha kwenda kwa Trend...
Alafu pia, Dada yangu!
Hizi ni simu hazina Mwisho,
Linda Utu wako! Kuliko Vyote
Ulindavyo!
Yangu ni hayo tu!
AM OUT!
Una kituTajiri akinunua ambae Kwa mwezi ana uhakika wa pesa hata mara mbili ya hiyo 4M hamna shida. Tatizo ni mtu ambae kuipata hiyo 4M hadi afanye saving hata mwaka mzima halafu anaweka kipaumbele chake kununua iphone 15.
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Siuzi na sitoi bure! 😂😂Naomba uniuzie papuchi
Acha roho mbayaSiuzi na sitoi bure! [emoji23][emoji23]
hapana mimi wala sikuwa nimemuomba alijiongelesha tu...mimi sio mtumiaji wa tigo niko vodacomVipi ulifanikiwa ku complete the puzzle au? 😂