85% ya Wauza iPhone hawawezi kukwambia siri hii

85% ya Wauza iPhone hawawezi kukwambia siri hii

85 percent ya Wauza iPhone
Hawawezi kukwambia SIRI hii

Kwanini?

Subiri nikupe Story,

Nina Ndugu yangu

Kila ikitoka iPhone,
New Model, lazima Aidake!
Na anaidaka ikiwa,
Bado haijapoaa!

My Guess Mwisho wa mwezi huu kabla haujaisha lazima anipigie Simu anipe Umbea kwamba
Anayo mkononi!

Na anachukua the latest Model
Yenye Pro Max - 1TB

Sasa Bhana! Kitu anachofanyia hiyo simu ndio Kinachekesha,
Na hapa ndio watu wengi wanafanya,

"Wrong Investment"

oK, Kwanini?

Kuna Sababu kubwa
Kwanini Apple wanatoa

↳iPhone 15 -$799 (128GB)
↳iPhone 15 Plus - $899 (128GB)

Hizi ni kwaajili ya Watu,
Wa kawaida, ambao-
Matumizi yao sio Makubwa...

Kama:
↳Kuchati Na kupiga cha za hapa na pale!
(Na matumizi mengine ya kawaida)

Linapokuja sasa Swala la
(Pro line up);

↳iPhone 15 Pro - $999 (128GB)
↳iPhone 15 Pro Max - $1199 (256GB)

Hapa tunahama kabisa,
Kwenye Matumizi ya,
Kawaida na ndio maana Kuna neno (PRO)

Pro means- For Proffesionals!

Na ndio maana umeona
Kwenye Uzinduzi wame-
Taja watu wa aina Mbili...

  • Photographers
  • Videographer/Film Maker!

Sasa wewe na kiranga chako,
ili mradi watu wakuone,
Una iPhone Kubwa...

Unaenda Ku-invest More,
Than 4M kwenye Kitu,
Ambacho hukitumii to the Max,

By the way: Kila nikimkuta,
Ndugu yangu yeye ni,

  • Snapchat
  • Candy Crash Saga...
  • Mange Kimambi,
Akisoma Umbea!

Ona sasa 🥲

Anyway: Okoa Pesa zako,
Acha kwenda kwa Trend...

Alafu pia, Dada yangu!

Hizi ni simu hazina Mwisho,
Linda Utu wako! Kuliko Vyote
Ulindavyo!

Yangu ni hayo tu!

AM OUT!
Screenshot_20230914-225322_X.jpg

Ujumbe wako huu hapa. Umetrend huko twitani.
 
Huu ushamba WA simu tunao Africa ndio Maana mzungu yeye kashajua sisi ni dampo Kila cku litatoka toleo jipya,Kwao huo upuuzi wa kubadili toleo Kila Leo halipo.Mtu anacm ya kawaida yenye mawasiliano,camera Moja na laptop imetosha.Ila sisi maskini kulia mbwata mpaka tujaze uchafu home ndio tunajua tumejipata.
 
Bonge la wakuja
Iphone2 nilitumia sikuipenda kabisa na Ipad 2 vyote nimetoa sadaka,mpk sasa na kipenzi changu Samsung sina tabu.
 
Huu ushamba WA simu tunao Africa ndio Maana mzungu yeye kashajua sisi ni dampo Kila cku litatoka toleo jipya,Kwao huo upuuzi wa kubadili toleo Kila Leo halipo.Mtu anacm ya kawaida yenye mawasiliano,camera Moja na laptop imetosha.Ila sisi maskini kulia mbwata mpaka tujaze uchafu home ndio tunajua tumejipata.
Huko kwa wazungu ndio kuna consumerism ya kutisha. Fuatilia mauzo ya hiyo iPhone siku ya kwanza tu uone.
 
mimba na maambukizi vitaongezeka kwa hii iphone pro
Kwa sisi wa kitambo kwy simu. Umenikumbusha enzi zile za Black Berry. Wadada walipoteza ubinadamu na kufanyiwa vitu vya kinyama kisa izo black berry
 
Sasa wewe na kiranga chako,
ili mradi watu wakuone,
Una iPhone Kubwa...

Unaenda Ku-invest More,
Than 4M kwenye Kitu,
Ambacho hukitumii to the Max,

By the way: Kila nikimkuta,
Ndugu yangu yeye ni,

  • Snapchat
  • Candy Crash Saga...
  • Mange Kimambi,
Akisoma Umbea!

Ona sasa 🥲

Anyway: Okoa Pesa zako,
Acha kwenda kwa Trend...

Alafu pia, Dada yangu!

Hizi ni simu hazina Mwisho,
Linda Utu wako! Kuliko Vyote
Ulindavyo!

Yangu ni hayo tu!
Hapa ndipo umeimba taarabu kuliko kusomesha
 
🤣
Kwanza mm nataka wali wa mama amina ili nianze kupambana kufukuza nzi, huku kwa pembeni amina amejinyea harufu yote kwangu, vijiko viwili vyangu vya wali ghafla nakutana na kifo cha mende kwenye maharage, yn hakuna kula kwa amani ndo raha yangu hiyo
🤣
 
I phone imekua simu ya kawaida sana nowadays...
Mmeoona Samsung s25 nyie?
 
Back
Top Bottom