Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Times changed, fire firefighters spraying water into a building from outside ilipitwa na wakati when humans started building very tall towers. Do you think fire fighters in Dubai have ladders and water hoses that can get to the top floor 156 stories high? Google dry and wet riser systems.
Ndiyo, Zimamoto ya Dubai wana uwezo wa kuzima moto kwenye hizo skyscrapers vinginevyo wasingepata kibali cha kujenga.
Wana vifaa vyote helicopters, jets, robots, cranes vya kuzimia moto, ili uweze kujenga jengo lolote ni lzm watu wa Maji, Zimamoto, umeme n.k. pia watoe kibali kama hawana uwezo wa kuzima moto kwenye jengo unalojenga hawatoi kibali na bila kibali hakuna ujenzi!