TCU wametoa idadi hiyo ya majina katika website yao ambapo applicants hawakuchaguliwa kutokana na sababu zilizoelezwa na TCU hivyo watatakiwa kufanya selection upya kwa kufuata maelekezo maalumu yaliyotolewa na mwisho ni tarehe 9 august 2013.ufuatiliaji katika hili unahitajika kama wewe ni muhusika.asanteni.