TCU wametoa idadi hiyo ya majina katika website yao ambapo applicants hawakuchaguliwa kutokana na sababu zilizoelezwa na TCU hivyo watatakiwa kufanya selection upya kwa kufuata maelekezo maalumu yaliyotolewa na mwisho ni tarehe 9 august 2013.ufuatiliaji katika hili unahitajika kama wewe ni muhusika.asanteni.
naomba mliopata majina ya wasiochaguliwa mnichekie jina emmanuel mwambelo p2517/0504/2011
kweli kaka?
Jamani hii imeakaaje yaani hata profile yangu tu haifunguki
Sijui nifanyaje jamani!
Jamani hii imeakaaje yaani hata profile yangu tu haifunguki
Sijui nifanyaje jamani!
Mm nachek zote zipo. Lakin wameandika Not yet
processed. Hii iko vp ??