Mfwatiliaji
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 1,323
- 67
umemsahau Karamagi....
how about this...?
Seriously hii thread imenisababishia matatatizo ghafla!!.. sasa ninatetemeka na najisikia moyo unakwenda mbio kuliko kawaida!!najisikia mbofumbofu.Inabidi nifanye namna nionane na daktari mapema. Very unfortunate.
Pole sana ndugu mfwatiliaji! Hiyo ni panic or anxiety attack! But ikipita and you start thinking straight inabidi utafute njia ya kujituliza and action plan!🙂
Ok, nitafuata ushauri wako sasa. Nadhani nina tatizo la temper maana huko nyuma niliwahi kumpiga traffic pale kibaha station ndani ya kile kibanda chao. Ikatokea tena nikamkwida koo assessor wa tanesco (mkoa nahifadhi) ndani ya ofisi yake baada kunikatalia faragha na meneja. Lakini katika event zote mbili wakuu wao walinielewa hivyo sikuchukuliwa hatua za kisheria za kufunguliwa mashtaka kwa kufanya mashambulio ofisini.
Ok, nitafuata ushauri wako sasa. Nadhani nina tatizo la temper maana huko nyuma niliwahi kumpiga traffic pale kibaha station ndani ya kile kibanda chao. Ikatokea tena nikamkwida koo assessor wa tanesco (mkoa nahifadhi) ndani ya ofisi yake baada kunikatalia faragha na meneja. Lakini katika event zote mbili wakuu wao walinielewa hivyo sikuchukuliwa hatua za kisheria za kufunguliwa mashtaka kwa kufanya mashambulio ofisini.
Mhh! Hii ya Karamagi kali! The plot thickens! Hii picha ilipigwa wapi in TZ au USA na ni mwaka huu?
Jamani we are so blind! Icadon tell us the connection please!
Hatimaye the dots are getting closer and closer..
Ok, nitafuata ushauri wako sasa. Nadhani nina tatizo la temper maana huko nyuma niliwahi kumpiga traffic pale kibaha station ndani ya kile kibanda chao. Ikatokea tena nikamkwida koo assessor wa tanesco (mkoa nahifadhi) ndani ya ofisi yake baada kunikatalia faragha na meneja. Lakini katika event zote mbili wakuu wao walinielewa hivyo sikuchukuliwa hatua za kisheria za kufunguliwa mashtaka kwa kufanya mashambulio ofisini.
So Andrew Young hutoa hotuba na huendesha forums katika University of St Thomas. Hii Forum ilikuwa Feb. 20-21, 2007St. Thomas University and the National Black MBA Association of the Twin Cities have just wrapped up their annual forum on diversity in the workplace.
The keynote speaker this afternoon was groundbreaking civil rights leader, former congressman, former U.N. Ambassador and former mayor of Atlanta, Andrew Young.
Link: http://www.stthomas.edu/calendars/ustevents/showevent.cfm?EventID=-1300374917.,,St. Thomas will confer an honorary doctor of laws degree on Kikwete, who is visiting Minneapolis, New York, Boston and Los Angeles with a delegation of about 90 Tanzanian government officials and business leaders....[wamelist CV yake not too impressive]....St. Thomas will confer an honorary doctor of laws degree on Kikwete, who is visiting Minneapolis, New York, Boston and Los Angeles with a delegation of about 90 Tanzanian government officials and business leaders.
Founded in 1996, GoodWorks International fosters long-term economic development in Africa and the Caribbean by creating successful business partnerships between private sector corporations and decision-makers in those emerging markets. In addition to Atlanta, the firm has offices in Washington, DC and New York, NY. By the beginning of 2007, the firm will also have offices in eight African countries: Nigeria, Rwanda, Angola, Cote D'Ivoire, Tanzania, Ghana, Chad and Benin. The Chairman of GoodWorks International is former United Nations Ambassador Andrew Young.
Andrew Young, ni mtu anyepaswa kuwa a fine nigger, majuzi amsema utumbo ambao wa mwaka, kwamba Bill Clinton ni more black than a white kwa sababu ame-date more blackwomen than whites katika maisha yake, halafu akatoka hapo akaenda kutoa zawadi kwa rais wetu ambayo inatakiwa kuwa ni babu kuwa,
Huyu ndiye aliyekuwa rafiki wa karibu sana wa Abacha, ambako mpaka leo kuna habari nyingi za yeye kuhusika sana na wizi wa Abacha kwa wananchi wa Nigeria, kama huyu mkuu anahusika na hiyo Sullivan thing, basi wabongo ni vyema tukajiepusha nao,
Look wao walipanga sherehe ya kumkabidhi rais wetu zawadi, na kwamba kila atakayeshirki hiyo sherehe atalipa dola 300 kuingia ndani ya ukumbi, wabongo flani wakajitokeza na kwenda kuwaambi hao Sullivan kuwa wao ndio wawakilishi wa wabongo wote US, Sullivan wakakubali na ku-make nao deal kwa ajili ya wabongo watakaokwenda huko DC, the next thing wale wabongo wapenda ujiko wakajitatanua na kuanza kutangaza mambo ambayo hata wazee wa idara wetu wa taifa walikuwa hawajui, yaani hata kabla kwenda kwa rais huko hakujasemwa rasmi, nasikia ikawa vuta nikuvute huko kwenye idara hawa wabongo wakaingia mitini,
sasa tell me about hiyo Sullivan?
Ok, So here is more infomration about GoodWorks International LLC! Kumbe wanafungua ofisi hapa ili wajipange vizuri
..ofisi ipo kitambo sasa. dada mmoja mrefu mrembo ndo anaiongoza!
Frankly, when given an opportunity to choose between two evils, kati ya "Sullivan thing na akina Andrew Young," versus "Kambi za Kudumu za Kijeshi," I'll have no hesitation choosing the former, for I know we can deal and tame the A. Youngs any time we want to, post serikali ya Boys-to-Men.
Anyway, hawa watu wa Sullivan kama kweli wangekuwa na lolote la maana, si tungekuwa tumekwishaona matokeo ya juhudi zao kule Afrika Magharibi - Senegal, Ghana na Nigeria? Hawana lolote hawa, they are just hot air, nothing more. Ndio maana wanauza DNA-kits kwenye hadhara iliyotegemewa kuwa ya maana kama hiyo huko Washington D.C.
Pia Clinton amemfanya Young kuwa Chairman of Southern Africa Development Fund aliyoianzisha in 1994! Figure that!Former President Bill Clinton called Andrew Young a profoundly good man as hundreds paid tribute to the civil rights legend in honor of his 75th birthday.
``You were given by God great gifts,'' Clinton said. ``Many people have gifts. The test is what you do with them and whether you care about others who deserve their chance in life, who either don't have your gifts or didn't have your opportunities.''
``You have done well and we would be well served if you would hang around for another 75 years,'' he said. ``Thank you for who you are, thank you for what you've done. Thank you for being my friend.''
Young was ebullient on the occasion, twirling a silver and gold umbrella and bouncing along in a raucous second-line, a tribute to his New Orleans roots. About 1,400 people came out to celebrate with him _ including Clinton, poet Maya Angelou and comedian Dick Gregory _ at a $500-per-plate black-tie dinner and fundraiser for the Andrew Young Foundation.
``Each time he spoke, the bells