Andrew Young, ni mtu anyepaswa kuwa a fine nigger, majuzi amsema utumbo ambao wa mwaka, kwamba Bill Clinton ni more black than a white kwa sababu ame-date more blackwomen than whites katika maisha yake, halafu akatoka hapo akaenda kutoa zawadi kwa rais wetu ambayo inatakiwa kuwa ni babu kuwa,
Huyu ndiye aliyekuwa rafiki wa karibu sana wa Abacha, ambako mpaka leo kuna habari nyingi za yeye kuhusika sana na wizi wa Abacha kwa wananchi wa Nigeria, kama huyu mkuu anahusika na hiyo Sullivan thing, basi wabongo ni vyema tukajiepusha nao,
Look wao walipanga sherehe ya kumkabidhi rais wetu zawadi, na kwamba kila atakayeshirki hiyo sherehe atalipa dola 300 kuingia ndani ya ukumbi, wabongo flani wakajitokeza na kwenda kuwaambi hao Sullivan kuwa wao ndio wawakilishi wa wabongo wote US, Sullivan wakakubali na ku-make nao deal kwa ajili ya wabongo watakaokwenda huko DC, the next thing wale wabongo wapenda ujiko wakajitatanua na kuanza kutangaza mambo ambayo hata wazee wa idara wetu wa taifa walikuwa hawajui, yaani hata kabla kwenda kwa rais huko hakujasemwa rasmi, nasikia ikawa vuta nikuvute huko kwenye idara hawa wabongo wakaingia mitini,
sasa tell me about hiyo Sullivan?