9/12/2019 nawakaribisha Mwanza

Write your reply...nataka nilete misokoto yangu huko mwanza niuze mitaa gani wavutaji ni wengi nilete msaada please Nina magunia kama 14 nimevuna sema mawili yalikamatwa kwenye Costa niliweka nguo za mtumba juu yake sjui walishtukaje nazani nilichomwa hvi bado sijaitengeneza vizuri hayo niliovuna
 
Kabisa mkuu. Ni lijambazi hili I see
 
Aisee !!!!
 
Hata mimi pia nakataa
Mpaka hapa nyuzi zako zote zitakuwa zimejaa uongo tupu. Sijui mnafaidika nini kuleta mada za kufikirika humu? Ngumu sana kwa mwanamke anayajitambua kutupia picha hivyo, then ajitambulishe kwa sex life yake wazi wazi.. nakataa!!!
 
Thubutu hawezi kutuma
Aweke video clip anajitambulisha yeye ni fulani wa sehemu flani na account yake yaJF ni fulani, ashike samaki mmoja wa sato mkononi, aweke ID yake ya NIDA au aweke hata namba ya ID ya NIDA.
 
Aisee!!!huwenda baadhi ya member's humu ni mataahira
 
Naamini na nina jua humu kuna totoz kali hata huyo juu pichani anasubiri, ila nabisha mpaka kesho kutwa eti cutelove

awe mzuri namna hiyo aah thubutu yake,weee nakataa hata nikichapwa fimbo sikubali.
Hahaaa
 
Ameshawasoma kwamba Me wa Jf mnapenda sana tupicha tuzuri tuzuri.

Musimulaumu mleta uzi anaendana na kasi yenu. πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…