98% ya Wazanzibar wanafahamu kuwa Karume ndio aliongoza mapinduzi

98% ya Wazanzibar wanafahamu kuwa Karume ndio aliongoza mapinduzi

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Nashangazwa na Wazanzibar kushindwa kuifahamu historia ya juzijuzi tu hapa ,yaani miaka 61 iliyopita.
Hawa watu wataweza kweli kuwa na historia miaka 100 ijayo.
Siku ya mapinduzi bwana Karume alikuwa upande wa bara hasahasa mitaa ya Magomeni.

Huku katika kipindi hiki cha sherehe za mapinduzi hamna hata mmoja ambaye anamtaja gwiji Okello na Nyerere katika siku hii muhimu.
 
aliekwambia wazanzibari hawafahamu historia yao ni nani? jifunze kutofautisha wazanzibari na Serikali ya CCM,.
Serikali ya CCM ndio inayolazimisha kukaririsha kuwa Karume ndio aliongoza mapinduzi, wakati kila mtu anafahamu kama Nyerere ndie alikuwa HEAD.

NA Okello alikuwa ni kama kibuwa tu kwenye bahari.
 
Back
Top Bottom