TikTok2020
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 1,816
- 3,150
Unafiki umejaa katika kisiwa hicho mambo machafu yote yanayofanyika Duniani yako Zanzibar Ila wamejificha kwenye koti la dini kujifanya watakatifu wakati wadhambi hawafai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wengi wazanzibari na wageni hawaielewi zanzibar. Zanzibar uislaam ni utamaduni tu sio kwanba ni wacha mungu. Yaani utamaduni wao ni pamoja na kushika mtindo wa maisha ya kiislaam. Utaona misikiti kila mtaa na watu wanasali ila sio waongofu wanafanya maovu ya kila aina.Ukifika Zanzibar na kujitambulisha wewe ni mhubiri au muumini thabiti wa dini fulani (tofauti na dini inayotawala zaidi pale Zanzibar) umekuja kwa shughuli ya kueneza habari njema kwa watu wote, unaweza usipewe hata nyumba ya kulala wageni haijarishi una pesa kiasi gani mfukoni. Lakini ukisema wewe ni mgeni/mtalii umekuja kuponda raha zote safi na chafu basi kwa haraka sana utauziwa kila kitu unachokitaka kuanzia pombe, ngono mpaka madawa ya kulevya. Cha kushangaza sana waratibu wa hayo yote ni washika dini wazuri.
Hutasikia danguro likichomwa moto wala klabu ya pombe ikivunjwa Zanzibar. Mpaka sasa hakuna kumbukumbu zozote za wazi zinazoonyesha teja, mlevi, malaya au shoga kupigwa, kuteswa au kuuawa Zanzibar, lakini kuna kumbukumbu za wazi za viongozi au waumini wa dini fulani kuuawa, kupigwa, kunyanyaswa na kuteswa huku mali zao zikiharibiwa.
Kuna kitu bado sijakielewa vizuri Zanzibar. Nadhani pia Zanzibar inapaswa ibadilishe mitazamo yake.
😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 mkuu umewahi pitia rekodi ni nani wanaongoza kwa kuhamia dini nyingine kati ya dini hizo....hapo ndo ulete nani wana hofuDini ile inalindwa kwa hofu. Waumini wengi hawajui wanachokifuata hivyo akija mtu wa kuwafungua anaweza kubadili upepo ndio maana wanapingwa.
Nakumbuka niliwahi kumpelekea injili mmoja akajifanya hajui kusoma na hasikii vizuri. Lengo ni asisikilize maana hajui kitu na amepigwa biti asisikilize vitu vipya asijekugeuzwa.
Nimesikitishwa kusikia Wazazibari wanatembea na VIBERITI VYENYE VINYESI wananusa kila saa....hii imenisikitisha sana, urahabu sio poaMleta mada unahoja unapaswa usikilizwe
Ila sikila aitae bwana atauona ufalme wa mbinguni
Mchungaji pita huku
Tena walikuwa wamevaa kanzu,barakashia na makubazi haaaaaa.Zanzibar kwa ajabu sana juzi juzi kuna mahabusu walikuwa wanafanyiana mambo ya kishetani ndani ya sero tena bila aibu
So whatNa kitimoto safii inapatikana Sana huko!!
For What??So what
ZNZ kuna mpaka Rais Mstaafu ambaye ni shoga, alikuwa anapumuliwa na waziri mmoja wa Serikali ya Muungano kutoka huko huko ZNZ. Aliposstaafu na mke akamkimbia. Ushoga Zanzibar siyo issue kabisa na ndiyo maana yule Polisi ambaye kulikuwa na ushahidi wa video ya namna anavyoingiliwa huku amevaa shanga aliachiwa na kazi anaendelea kuchapa kikosini. Kwenye wanaume 5 ZNZ watatu tu ndiyo wako rijaliUkifika Zanzibar na kujitambulisha wewe ni mhubiri au muumini thabiti wa dini fulani (tofauti na dini inayotawala zaidi pale Zanzibar) umekuja kwa shughuli ya kueneza habari njema kwa watu wote, unaweza usipewe hata nyumba ya kulala wageni haijarishi una pesa kiasi gani mfukoni. Lakini ukisema wewe ni mgeni/mtalii umekuja kuponda raha zote safi na chafu basi kwa haraka sana utauziwa kila kitu unachokitaka kuanzia pombe, ngono mpaka madawa ya kulevya. Cha kushangaza sana waratibu wa hayo yote ni washika dini wazuri.
Hutasikia danguro likichomwa moto wala klabu ya pombe ikivunjwa Zanzibar. Mpaka sasa hakuna kumbukumbu zozote za wazi zinazoonyesha teja, mlevi, malaya au shoga kupigwa, kuteswa au kuuawa Zanzibar, lakini kuna kumbukumbu za wazi za viongozi au waumini wa dini fulani kuuawa, kupigwa, kunyanyaswa na kuteswa huku mali zao zikiharibiwa.
Kuna kitu bado sijakielewa vizuri Zanzibar. Nadhani pia Zanzibar inapaswa ibadilishe mitazamo yake.
Sasa shetani unataka kwenda jutawala mashetani wenzako?Ukifika Zanzibar na kujitambulisha wewe ni mhubiri au muumini thabiti wa dini fulani (tofauti na dini inayotawala zaidi pale Zanzibar) umekuja kwa shughuli ya kueneza habari njema kwa watu wote, unaweza usipewe hata nyumba ya kulala wageni haijarishi una pesa kiasi gani mfukoni. Lakini ukisema wewe ni mgeni/mtalii umekuja kuponda raha zote safi na chafu basi kwa haraka sana utauziwa kila kitu unachokitaka kuanzia pombe, ngono mpaka madawa ya kulevya. Cha kushangaza sana waratibu wa hayo yote ni washika dini wazuri.
Hutasikia danguro likichomwa moto wala klabu ya pombe ikivunjwa Zanzibar. Mpaka sasa hakuna kumbukumbu zozote za wazi zinazoonyesha teja, mlevi, malaya au shoga kupigwa, kuteswa au kuuawa Zanzibar, lakini kuna kumbukumbu za wazi za viongozi au waumini wa dini fulani kuuawa, kupigwa, kunyanyaswa na kuteswa huku mali zao zikiharibiwa.
Kuna kitu bado sijakielewa vizuri Zanzibar. Nadhani pia Zanzibar inapaswa ibadilishe mitazamo yake.
juzi ameongea kuhusu serikali ya Zanzibar kutumia mashoga kutangaza utalii.Ngoja shee Ponda akusikie😁
Hii sio habari ya kutunga kweli?Nimesikitishwa kusikia Wazazibari wanatembea na VIBERITI VYENYE VINYESI wananusa kila saa....hii imenisikitisha sana, urahabu sio poa
Lakini wanakubali kulea na kuridhia ushoga na mashoga ilimradi uwe maislamAngalia akili zako za kitoto ,wakianza kuwapiga walevi utasema tena ,🤣🤣yaani useme kila anayefanya kosa wampige mpaka wamuue ...Mtakujw tena kusema waislamu ni makatili wana hukumu watu.
Zanzibar hawawezi kukubali kujengwa makanisa ya kitapeli kama hawa manabii huleta ujinga kwa watu.🤣🤣
Zanzibar kuna makanisa na wakristo acha uongo wako juzi kati tu hapa walikuwa na mgogoro juu ya viongozi wao, yaani wakristo wanagombana wenyewe.
Hakuna mtu kauliwa kisa dini yake hii ni hostility tension baina ya bara na zenji , wale wanashangaa wakiitwa wao ni mashoga na wale wanajua wabara sisi ndio tunaharibu mji wao.
Angalia unachoandika leo hata mikoani hapa Tanzania watu wanasemana kutokana na ukanda na mikoa ,jambo la kawaida .
Shehe Ponda keshawaponda kwa kumtumia Quest katika kuhamasisha utalii nchini humo. Huyo jamaa ni gay.Ngoja shee Ponda akusikie😁
😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 mkuu umewahi pitia rekodi ni nani wanaongoza kwa kuhamia dini nyingine kati ya dini hizo....hapo ndo ulete nani wana hofu