A beautiful mind longing for a gentleman

A beautiful mind longing for a gentleman

Nope.. lugha ya kichaga ina basics. Kama ilivyo kiswahili. Hii basics zinaeleweka na wachaga wote.. si marangu.. si mrombo si mmachme au kibosho.
Wanasikiliza na kuelewa.. then there ndio inagawanyik tu ....
Ni sawa sawa na kiswahili.. kuna wanachongwa congo.. wanachoongea kenya.. wanchoongea wenzetu waganda.
Bado ni kiswahi.. basic ni zile zile tofauti ni eneo. Kila eneo lime adopt style au tamadun yake ya kuongea lugha hiyo.


Siyo kweli, unajua maana ya Lugha? Kama mimi na wewe tunaongea lkn hatuwezi kuelewana ina maana tunaongea lugha 2 tofauti.

Kwa mfano Mbowe akiongea Kimachame tupu na Mtei akaongea Kimarangu tupu hawawezi kuelewana, mimi nikienda Kenya au Kongo kama wanaongea Kiswahili na mimi naongea Kiswahili tutawasiliana, kama tukishindwa kuwasiliana kwa kutokuelewana ina maana tunaongea lugha 2 tofauti na siyo Kiswahili, hiyo ndiyo maana ya Lugha.

Hizo basics unazoziongelea wewe ni Kibantu ambazo Lugha zote za kibantu zinashare, na ndo maana zikaitwa Kibantu.
 
I am single christian woman of 29 yrs, employed and chagga by tribe looking for a single christian man ageing 33 - 35 to develop a relationship with and eventually hatch into marriage ,preferably the one who is living in dar and he should be ambitious and a hustler too.

For a serious man do not hesitate to DM.....for those with jokes and bullies give me a break
The sunset.
 
lace up your shoes and meet someone in real world, dont hide beyond your keboard
And they apparently use to confront men at street saying that they're not of their type,
While not knowing that it is those very same men who read their threads here.
 
Tatizo hilo !!!

Kuna tatizo mtu akitaja kabila lake ujue exactly anapotoka?

Hii phobia mnapata wapi?

Mpo scared too much hadi vitu vya kawaida vya utambulisho!

Mwaka 1800 kulikua hakuna kitu kinaitwa Mtanzani,mwaka 1961 kuna Mtanzania,mwaka 3090 kutakua hakuna Mtanzania labda jina jingine!

Wanasiasa wanakuamulia wewe ni nani na sio utashi wa akili yako mwenyewe!
 
Siyo kweli, unajua maana ya Lugha? Kama mimi na wewe tunaongea lkn hatuwezi kuelewana ina maana tunaongea lugha 2 tofauti.

Kwa mfano Mbowe akiongea Kimachame tupu na Mtei akaongea Kimarangu tupu hawawezi kuelewana, mimi nikienda Kenya au Kongo kama wanaongea Kiswahili na mimi naongea Kiswahili tutawasiliana, kama tukishindwa kuwasiliana kwa kutokuelewana ina maana tunaongea lugha 2 tofauti na siyo Kiswahili, hiyo ndiyo maana ya Lugha.

Hizo basics unazoziongelea wewe ni Kibantu ambazo Lugha zote za kibantu zinashare, na ndo maana zikaitwa Kibantu.
Hivi so mkaanzishe Uzi wenu. Dada Yuki serious hapa anahitaji mme ninyi mnaleta mambo mengine.
 
There is no such a thing as a chaga tribe, chaga is not a tribe, so everything is fake!
tusimharibie mtu uzi wake kwa kuanza kubishana kuhusu kichanga ni lugha au sio lugha,dada yetu anataka mwenza,hatafuti tafsiri ya lugha
 
tusimharibie mtu uzi wake kwa kuanza kubishana kuhusu kichanga ni lugha au sio lugha,dada yetu anataka mwenza,hatafuti tafsiri ya lugha

Atakuwa ameisha please Uzi wa zamaniiiii.. hata ID yake haipo hewani tangu 2021
 
I am single christian woman of 29 yrs, employed and chagga by tribe looking for a single christian man ageing 33 - 35 to develop a relationship with and eventually hatch into marriage ,preferably the one who is living in dar and he should be ambitious and a hustler too.

For a serious man do not hesitate to DM.....for those with jokes and bullies give me a break
Hivi ulipataga 🙂
 
Back
Top Bottom