Nchi imeishiwa rasilimali za kukuzia uchumi, wananchi nao ni mbumbumbu. Njia pekee iliyobaki kwa Kagame kukuza uchumi wake ni kuvamia na kupora, hana njia mbadalaThat's for sure mkuu.
Though kuna kitu hua sielewi kwa uchumi mdogo wa Rwanda sijui kwanini PK anapendaga habari za vita vita badala angeboresha nchi yake kiuchumi.
Hahahaha wewe Mnyakyusa bwana.Nchi imeishiwa rasilimali za kukuzia uchumi, wananchi nao ni mbumbumbu. Njia pekee iliyobaki kwa Kagame kukuza uchumi wake ni kuvamia na kupora, hana njia mbadala
I second you....This makes me think.
Kikwete was a strong and stable force behind, when it came to handling the politics of the Great Lakes Region.
At least we could sleep peacefully and have assurance of the following day, in those 10 yrs he was in power.
Sasa, with the current adm. and on top of all this going on...Asalaaleeh!
(I stand to be corrected)
🙂🙂🙂Hahahaha wewe Mnyakyusa bwana.
Ila hivi kwanini mataifa ya BRICS yalimualika Rais Kagame kwenye kikao juzi nchini Afrika Kusini ilhali yakijua kabisa Rwanda hana rasilimali ambazo mataifa hayo yanaweza kuzichimba ???
I know what we are missing. Good leadership or just leadership at that.
🙂🙂🙂
hilo ni swali fikirishi, so jamaa ni gateway ya Congo na utajiri wake?!!.
Umetoa mwanga mzuri humu. ishu ya great lakes ni kubwa kuliko JPM, PK, M7 et al. Na imeanza mbali. Hadi MOSSAD na Beijing!!?. Ndiyo maana Congo wars(great wars of Africa) zilikuwa na players wengi vile!!. Hawa CIA ndiyo walio mkill hadi Lumumba. Walimualika Marekani wakampetipeti na kumtafutia malaya wa kizungu lakini jamaa alikuwa haelewi somo.
Niko vizuri ndugu Nalendwa.
Huku utashangaa sana lakini mbali na DGSE kuna CIA, MOSSAD, BND, BOSS (Apartheid Intelligence) na Chinese Intelligence.
Kuna miaka ya nyuma MOSSAD walishawahi kuzinguana na Shirika la Kijasusi la Uchina nchini Congo: Kuna kipindi hadi majasusi ya MOSSAD walikamatwa na majasusi ya Uchina, yakafungwa na kutupwa kwenye mto wenye mamba na ujumbe ukapelekwa Tel Aviv (Just crazy)
Ukisoma kwenye The Encyclopedia of Politics by Rodney P Carlise, Johh P Murphy kutoka American Military University anasema haya kwenye ukurasa wa 594 "The war saw the introduction of unique surrogates on both sides , as Cuban mercenaries supported the Communist liberation forces in the fighting in Angola and the Israel MOSSAD carried on a bitter struggle against the Chinese in Congo" Israel na Uchina walipigana vibaya sana nchini Congo kisa maslahi sema kuna mambo huya hayasemwi tu. Miminilikuja kuambiwa haya mambo mwaka 2010 ndiyo nkajua kumbe kuna mchezo mchafu sana unaendelea hapa Afrika.
Nadhani kuna andiko la zamani sana lilizungumzia hiyo Spy Affair baina ya Uchina na Israel walivyokuwa wanaviziana kimafia. Nikilipata ntaliscan na ntakuwekea hapa uone jinsi ambavyo haya matatizo yana mzizi mrefu.
Hahahaha wewe Mnyakyusa bwana.
Ila hivi kwanini mataifa ya BRICS yalimualika Rais Kagame kwenye kikao juzi nchini Afrika Kusini ilhali yakijua kabisa Rwanda hana rasilimali ambazo mataifa hayo yanaweza kuzichimba ??? Au upande wa pili ni kwanini mataifa makubwa ya Magharibi yanaipenda sana Rwanda wakati haina rasilimali zozote zile wanazoweza kuzichimba ???
Eti wakuu Nalendwa , Kichuguu , mng'ato , Wick , Prof mnaweza kutusaidia hili jawabu
Hahahaha, imenibidi nicheke tu, eti nefarious.The problem of insecurity and military insurgencies that faces the great Lakes region is profoundly originated by these 2 blood thirsty and nefarious tyrants Paul Kagame and his Brother Yoweri Museveni , putting into perspective of so many sabotage operations and rebellion factions funding in the neighbouring country of Congo , I wouldn't be suprised of their direct involvement in Burundi's conflict ,
Sometimes I believe Congo would have been far more better off if there weren't these 2 ghosts beside it , the massacres and much more barbaric atrocities that have been committed by these 2 demons are undescribable , it is horrific and you will never here these on the mainstream media
We have a serious problem and if we don't act now , the imminent future will be worst and at that time we shall be dealing with savages renegades within our borders and it will be a nightmare especially to most of us Tanzanians who we have never heard of the gun shot since when we were born ..............
JWTZ iende mara ngapi?
Bila JWTZ Nkurunzinza ingekuwa story!
Kuna rafiki yangu alikuwa anaishi karibu na Ubalozi wa USA Dsm, aliwahi kupigiwa simu na walinzi wa ubalozi (akiwa amesafiri nje ya dsm bila kuwaaga maana hakuwa na mazoea nao) kuwa kuna majambazi walitaka kuvamia nyumbani kwake lakini walinzi hao wa US Embassy wamewadhibiti. Huwa wako siriazi na kazi, they spy everywhere all the time for their nation's welfare
Great!I know...Right!
Hii ndo uzuri wao. Kama hauko kwenye black book yao, you'll be taken a good care of.
Sidhani kama kutakuwa na amani kivile ila mambo waliyoyafanya hawa watu hasa humo Congo yanatisha sana kuna kitabu kimoja nitakitafuta nikiweke humu kinaelezea jinsi walivyowasaidia wanyamulenge (Wafugaji wenye asili ya kitusi ) huko Kivu kuunda vikosi vya waasi na pia kiinfiltrate mamluki wao hasa wa Rwanda kwenye jeshi la Kongo enzi hizo wakimsupport Mzee Kabila na baadaye wakamgeuka na kummaliza ni story ndefu sana , hata huyu mkuu wa majeshi wa Rwanda (James Kabarebe ) aliwahi kuwa mwenye cheo kikubwa tu kwenye jeshi la Kongo enzi za Mzee Kabila.......Kuna kitabu kimeandikwa na jamaa mmoja anaitwa Thomas Turner "The Congo wars and conflicts myths and reality " ) hiki Kiko full , this guy he hadn't spared anyone , ameelezea kwa facts involvement ya hawa warlords wawili na western powers Hasa FranceHahahaha, imenibidi nicheke tu, eti nefarious.
Lakini tukirudi kwenye suala la Usalama wa nchi za Maziwa makuu:
-Hivi unadhani chanzo cha vurugu hizi ni Kagame na Musseveni ???
-Unahisi kwamba wakiondoka mambo ndiyo yatatulia kwenye ukanda huu ???
baada ya vita na nduli..nafikiri ni kwa jukumu maalumu(post war intelligence director/chief)Lini, kwenye kikosi kipi ???
Anhaa alikuwa ni Ad-Hoc ??baada ya vita na nduli..nafikiri ni kwa jukumu maalumu(post war intelligence director/chief)
Aaah Dada Vinci nimekutumia vile vitu mbona husemi ahsante sasa ???Nakuelewa sana Malcom lumumba nafuatilia kwa karibuu..
Sorry mkuu sijaangalia kabisa, siwez acha kukushukuru..Aaah Dada Vinci nimekutumia vile vitu mbona husemi ahsante sasa ???
Ngoja nawe nikutafutie Aka..Aaah Dada Vinci nimekutumia vile vitu mbona husemi ahsante sasa ???
Mkubwa hakombi mboga, utapata laana kutukana wakubwa zako.Ngoja nawe nikutafutie Aka..