mpita-njia
JF-Expert Member
- Dec 3, 2010
- 1,734
- 1,616
Inawezekana ikawa part of deal la Total. Ufaransa ina kiu sana na Mafuta.DGSE, FRENCH External Intelligence Agency.
How come wanaonekana kujishughulisha na Internal Affairs za baadhi ya nchi za Great Lakes Region?!, halafu sio kujisghulisha tu, mpaka ku spill the beans, i.e the allegedly assassination plot ya Museveni?
na uranium..angalia pale chad,CAR,MALI(tuareg),congo brazaville..habre alizingua,aka-side na US,aisee france alimshughulikia vizuri,kumbe france walikua na 'traitors' ndani ya jeshi la us lililokua na habre..gaddafi nae alitia pua..france hakuleta mzahaInawezekana ikawa part of deal la Total. Ufaransa ina kiu sana na Mafuta.
Kwenye Mafuta inafanya chochote.
Fuatilia vita zisizoisha za West Africa, zote Mfaransa ana Mkono wake kisa Mafuta.
Well saidMwache ajenge uchumi wake sisi tushuhulikie amani ya eneo. Kikinuka Uganda, Rwanda na Burundi, wote wapo karibu na TZ, KE yupo mbali ndo mana hashuhuliki. Kama ikitokea vita kwenye izo nchi tatu basi Tanzania itabidi itie mkono wake tu, ili kuepusha haya ni vyema yakatatuliwa mapema.
Inawezekana ikawa part of deal la Total. Ufaransa ina kiu sana na Mafuta.
Kwenye Mafuta inafanya chochote.
Fuatilia vita zisizoisha za West Africa, zote Mfaransa ana Mkono wake kisa Mafuta.
Jamaa wako vizuri kwenye maslahi yao.na uranium..angalia pale chad,CAR,MALI(tuareg),congo brazaville..habre alizingua,aka-side na US,aisee france alimshughulikia vizuri,kumbe france walikua na 'traitors' ndani ya jeshi la us lililokua na habre..gaddafi nae alitia pua..france hakuleta mzaha
Tungojee zamu yetu tukianza kuchimba Mafuta.I second you mkuu.
Tungojee zamu yetu tukianza kuchimba Mafuta.
Mkuu kichuguu huwezi kubishana na wakenya, wanabisha hata kwenye ukweli huyu mulwanaka anaonekana ni mkenya.Hapana mzee; uwezo wa kijeshi siyo directly proportional na uchumi, na wala katika maelezo yangu hayo sikutumia kigezo cha mwaka 1970 bali nimekupa mfano wa kuonyesha kuwa wingi wa silaha na ukubwa wa jeshi (manpower) havina uhusiano na uwezo wa kupigana vita. Unaposoma takwimu za wingi wa silaha na manpower zisikudanganye kuwa huo ndio uwezo wa jeshi; hapana. Uwezo wa jeshi umo katika utaalamu wa kupanga na kuendesha mapigano ambao unatokana na training ya makamanda wake. Makamanda wa jeshi la JWTZ wana training kali sana kuliko jeshi lolote ukanda wetu huu. Pitia safu za uongozi kwa maafisa wote kuanzia Brigedia Jenerali na kuendelea ndipo utagundua kuwa training zao siyo mchezo mchezo. Marekani na israel unazosema, zina training kali sana kwa makamanda wao, siyo silaha na uchumi tu kama unavyodhani. Kama unajua mambo ya kijeshi sawasawa, utakubali kuwa ushindi wa israeli dhidi ya majirani zake miaka ile ulitokana na jinsi makamanda wa israeli walivyopanga vita hizo siyo ukubwa wa jeshi wala ukubwa wa uchumi, in fact Israel ilikuwa maskini sana wakati huo wala haikuwa hata na TV yake yenyewe kulinganisha na majirani zake wote.
Akili kubwa mkuu nimekusoma.Mwache ajenge uchumi wake sisi tushuhulikie amani ya eneo. Kikinuka Uganda, Rwanda na Burundi, wote wapo karibu na TZ, KE yupo mbali ndo mana hashuhuliki. Kama ikitokea vita kwenye izo nchi tatu basi Tanzania itabidi itie mkono wake tu, ili kuepusha haya ni vyema yakatatuliwa mapema.