A Boiling Conflict Between Rwanda, Uganda, and Burundi.

A Boiling Conflict Between Rwanda, Uganda, and Burundi.

Teh!, eti atarudishwa na nini?
Alivyo mbabe, he'd rather do something else, kuliko kuangukia pua au mikononi mwa adui.

mng'ato yuko wapi apite hapa kuona vurugu nyingine hizi za bestie wake. 🙂
Mkuu hio something else atakayoifanya PK ni kuunda vikosi vingi vingi vya waasi kwa Rwanda,Burundi na DRC hizo nchi hazitakalika mkuu.
 
Hiki kijarida majuzi hapa kiliandika waasi wa Rwanda wanakaribia kufika Kigali hahah,vp bado waasi hawajafika tu.,hahah
Watu wanajiaminisha kwamba Kagame yuko peke yake kwenye huu mtanange,
Hawajiulizi kwanini Mfaransansa anahangaika, lakini kibaya ni kwamba siku maslahi ya watu walioko nyuma ya Kagame yakiguswa ndiyo tutafahamu kwamba nani anampa kiburi Kagame. Binafsi nadhani mbali na mambo ya Ulinzi wa Tanzania kwa moja kwa moja, haya mengine tuwaachie wenyewe wakina Musseveni maana waliyatafuta wenyewe.
 
Watu wanajiaminisha kwamba Kagame yuko peke yak kwenye huu mtanange,
Hawajiulizi kwanini Mfaransansa anahangaika, lakini kibaya ni kwamba siku maslahi ya watu walioko nyuma ya Kagame yakiguswa ndiyo tutafahamu kwamba nani anampa kiburi Kagame. Binafsi nadhani mbali na mambo ya Ulinzi wa Tanzania kwa moja kwa moja, haya mengine tuwaachie wenyewe wakina Musseveni maana waliyatafuta wenyewe.
Heshima yako mkuu,ulichokisema hapa nadhani inabidi iwe standing point yetu.

Ila Ufaransa na Kagame naona damu zao zishagoma kupatana kabisaa.

By the way,what do you think mkuu khs assasination ya M7 kua plotted na Kagame,mimi siamini zaidi ya kuona hili jarida mara zote story zake hua ni "tata".

Hili Jarida liliporipoti kwamba waasi wanakaribia kufika Kigali on the other side Burundi ikaanza kulalamika kwamba hao "waasi" wa kubuni ni wahuni wa Kagame waliotengenezwa ili ionekane Burundi inawasapoti afu PK apate sababu za kuivamia Burundi.
 
That's for sure mkuu.

Though kuna kitu hua sielewi kwa uchumi mdogo wa Rwanda sijui kwanini PK anapendaga habari za vita vita badala angeboresha nchi yake kiuchumi.
 
Hiki kijarida majuzi hapa kiliandika waasi wa Rwanda wanakaribia kufika Kigali hahah,vp bado waasi hawajafika tu.,hahah


Sijui kwa nini I expected this kind of tone from you...lol!

Hilo eneo lakini hali sio shwari sana mkuu.
Kisa na mkasa cha kutaka kumtungua mzee wa watu ni nini sasa. Kutokujiamini ama?!
 
.."(Kikwete) clearly stated that such a military move would not be tolerated by Tanzania"...

Mhh!
So, if the attempted coup in Burundi had succeeded, JWTZ would've gone into a second "Kagera War"
Kwani waliomrudisha Madarakani Nkurunzinza si hao J....w ...z
 
Watu wanajiaminisha kwamba Kagame yuko peke yak kwenye huu mtanange,
Hawajiulizi kwanini Mfaransansa anahangaika, lakini kibaya ni kwamba siku maslahi ya watu walioko nyuma ya Kagame yakiguswa ndiyo tutafahamu kwamba nani anampa kiburi Kagame. Binafsi nadhani mbali na mambo ya Ulinzi wa Tanzania kwa moja kwa moja, haya mengine tuwaachie wenyewe wakina Musseveni maana waliyatafuta wenyewe.


Hey Malcolm, hope U mzima!
On this point, hili nilijiuliza kwenye ile comment yangu ya mwanzo kuhusu DGSE.

Why France?!, I thought they had history. Najua Belgium ndio walikuwa directly involved kwenye Colonialism na Rwanda lakini for some reasons nilidhani France wako somehow indirectly involved. Na jinsi walivyowaanika kuhusu hii Assassinatio plot was Interesting.
 
Sijui kwa nini I expected this kind of tone from you...lol!

Hilo eneo lakini hali sio shwari sana mkuu.
Kisa na mkasa cha kutaka kumtungua mzee wa watu ni nini sasa. Kutokujiamini ama?!
Hahah nimecheka sana mkuu eti uli expect hio tone,hahah.

Kuna wahuni/wadokozi waliokua wanavamia wananchi kwny hilo eneo wanachukua misosi/mali zao then wanakimbilia Burundi(ni mpakani).

Ulimsikia PK majuzi alivyopiga mkwara?Alisema kwa sasa hawajiandaa na vita na nchi yoyote lkn anytime soon when the situation is alarming wataingia vitani na atayeleta chokochoko(Burundi ndio mlengwa hapo) baada ya hapo chokochoko zikawa kimyaa
 
Heshima yako mkuu,ulichokisema hapa nadhani inabidi iwe standing point yetu.

Ila Ufaransa na Kagame naona damu zao zishagoma kupatana kabisaa.

By the way,what do you think mkuu khs assasination ya M7 kua plotted na Kagame,mimi siamini zaidi ya kuona hili jarida mara zote story zake hua ni "tata".

Hili Jarida liliporipoti kwamba waasi wanakaribia kufika Kigali on the other side Burundi ikaanza kulalamika kwamba hao "waasi" wa kubuni ni wahuni wa Kagame waliotengenezwa ili ionekane Burundi inawasapoti afu PK apate sababu za kuivamia Burundi.

Kagame is ruthless lakini siamini kwamba amekuwa mjinga kiasi cha kufanya kosa la lutaka kumuua Msevenni mchana kweupe huku akijua dhahiri kwamba mambo mabaya yanaweza kutokea baada ya hilo jaribio. Kama kujifunza tu, RPF walijifunza somo gumu sana kwenye lile tukio la mwaka 1994 (Hyabarimana na Cyprian) na sidhani kama wanaweza kurudia kirahisi hasa kipindi hichi ambacho macho mengi yanamwangalia, tena wanamfanyia mtu kama Uganda.

Maswali ya kujiuliza hapa kwa mtazamo wangu ni haya:
1. Je, kama Kagame angetungua hiyo ndege ya Musseveni, Je ni kwa faida ya nani ???

2. Jarida linatuambia kwamba kwasababu ya kisasi dhidi ya Musseveni baada ya kumgeuka, lakini hili lina ukweli wowote ule ??? Maana kama ni kisasi basi angeanza na Raisi Jakaya Kikwete na Tanzania ambao waliingia moja kwa moja Congo DRC kuwapiga M23 na pia wao ndiyo walimrudisha Pierre Nkhurunzinza madarakani kwa mabavu. Kama kisasi basi angeanza na Tanzania na siyo Uganda, maana sisi ndiyo tumemgusa panapouma kuliko taifa lolote lile hapa Afrika (Hili la Uganda linatia sana ukakasi)

NB: Rwanda hawezi kufanya kitu chochote cha kijinga bila kupewa ruhusa na wafadhili wake, maana wao utulivu wa Rwanda ni faida kubwa sana kiuchumi kwao. Hivyo wataleta mbwembwe zote lakini vita siyo rahisi kabisa (Too much is at stake), Rwanda atafanya vurugu kubwa pale tu ambapo maslahi ya wakubwa yataguswa (Kumbuka yaliyomkuta Raisi Laurent Kabila baada ya kutaka reforms za kuwagusa wakubwa nchini Congo) : Nchi kama Tanzania, Burundi na Uganda zinaweza kuwepo nchini Congo lakini huwa zinajua dhahiri mipaka yao linapokuja swala la maslahi ya wakubwa.
 
Nimefatilia mjadala huu kila nukta bado sijafahamu lolote. Mkuu The Bold sijakuona hapa uki comment.
 
Usichanganyikiwe mambo bado.
1.Jeshi bora ndiyo huwa linashinda vita.
2. Ubora wa jeshi haungaliwi kwenye uchumi wa nchi peke yake.
3. Hakuna jeshi linaloshinda vita kwa bahati nasibu lazima mjipange ndiyo mfanikiwe.

NB: Huwezi kutenga mbinu za Kijeshi, Intellijensia na Siasa ya nchi kwenye vita.
Mkuu mwaka 1972 USA ilishindwa vita ya Vietnam 1979 USSR ulishindwa vita ya Afghanistan 1998 USA elishindwa vita ya Somalia......kwa argument yako unataka kuniambia somalia elikua na jeshi bora kuliko USA au Afghanistan ina jeshi bora kuliko Russia.....plz tofoutisha jeshi bora la inshi na kushinda vita......ntarudi tena kukuelewesha zaidi
 
Kagame is ruthless lakini siamini kwamba amekuwa mjinga kiasi cha kufanya kosa la lutaka kumuua Msevenni mchana kweupe huku akijua dhahiri kwamba mambo mabaya yanaweza kutokea baada ya hilo jaribio. Kama kujifunza tu, RPF walijifunza somo gumu sana kwenye lile tukio la mwaka 1994 (Hyabarimana na Cyprian) na sidhani kama wanaweza kurudia kirahisi hasa kipindi hichi ambacho macho mengi yanamwangalia.

Maswali ya kujiuliza hapa kwa mtazamo wangu ni haya:
1. Je, kama Kagame angetungua hiyo ndege ya Musseveni, Je ni kwa faida ya nani ???

2. Jarida linatuambia kwamba kwasababu ya kisasi dhidi ya Musseveni baada ya kumgeuka, lakini hili lina ukweli wowote ule ??? Maana kama ni kisasi basi angeanza na Raisi Jakaya Kikwete na Tanzania ambao waliingia moja kwa moja Congo DRC kuwapiga M23 na pia wao ndiyo walimrudisha Pierre Nkhurunzinza madarakani kwa mabavu. Kama kisasi basi angeanza na Tanzania na siyo Uganda (Hili linatia sana ukakasi)

NB: Rwanda hawezi kufanya kitu chochote cha kijinga bila kupewa ruhusa na wafadhili wake, maana wao utulivu wa Rwanda ni faida kubwa sana kiuchumi kwao. Hivyo wataleta mbwembwe zote lakini vita siyo rahisi kabisa (Too much is at stake), Rwanda atafanya vurugu kubwa pale tu ambapo maslahi ya wakubwa yataguswa (Kumbuka yaliyomkuta Raisi Laurent Kabila baada ya kutaka reforms za kuwagusa wakubwa nchini Congo) : Nchi kama Tanzania, Burundi na Uganda zinaweza kuwepo nchini Congo lakini huwa zinajua dhahiri mipaka yao linapokuja swala la maslahi ya wakubwa.
1.Khs Kumuua M7 hilo 100% naamini ni uongo kwa sababu naamini uwepo wa M7 ndiyo salama zaidi kwa Rwanda na PK kwa ujumla,ule msemo usemao zimwi likujualo halikuli likakwisha ndiyo style ya urafiki wa Pk na M7.

2.Khs kisasi kwa m7 sio kweli pia kwanza hata hio case ya kugeukana haina ukweli nayo.

Pale mwishoni umeandika kwamba Rwanda watafanya vurugu pale tu maslahi yao yatakapoguswa lkn hapo hapo M23 ilichapwa huko Congo na maslahi ya Rwanda yakawa ndo yameguswa hivyo na hakuna kitu chochote Rwanda ilikifanya au labda pengine maslahi yao pale hayakua makubwa mkuu?
 
Huja jibu swali unatumia vingezo gani kusema JWTZ ni bora Africa mashariki na Kati, kigezo cha miaka ya 70 sio kigezo....uwezo wa jeshi lolote unaendana sambamba na uchumi wa hiyo nchi ndomaana unaona Marikani, China Israel uingereza nk wana uongoza kwakua na jeshi bora duniani......sasa Tanzania inayo zidiwa kiuchumi na Kenya karibu mara mbili itakuaje na jeshi bora kuliko Kenya au Congo.....huo ni muujiza gani?
Jeshi letu ni bora kuliko jeshi la Kenya na jeshi la Congo. That is undisputed truth
 
Back
Top Bottom