A/C katika gari imeundwa kwa Vifaa kadhaa vinasaidia kuleta ubaridi

A/C katika gari imeundwa kwa Vifaa kadhaa vinasaidia kuleta ubaridi

HIVI INAKUAJE
Jibu ni ndiyo! Kwa sababu unapowasha Air conditioner kwenye gari unaiongezea engine mzigo wa kusukuma/kuzungusha compressor! Inakuwa kama gari inapanda mlima hivyo kuifanya engine ilazimike kutumia mafuta mengi zaidi ili kupata nguvu ya kusukuma!! Kiwango cha mafuta kinachoongezeka kinatofautiana kwa gari moja na jingine!

MKUU INAKUAJE GARI NIKIWASHA AC MCHANA UBARIDI KWENYE GARI UNAKUWA KWA MBALI ILA USIKU MPKA NAHISI KUGANDA INAPIGA BALAA SIJAJU TATIZO MSAADA WAKO MKUU
 
HIVI INAKUAJE


MKUU INAKUAJE GARI NIKIWASHA AC MCHANA UBARIDI KWENYE GARI UNAKUWA KWA MBALI ILA USIKU MPKA NAHISI KUGANDA INAPIGA BALAA SIJAJU TATIZO MSAADA WAKO MKUU
Mkuu bado sijaelewa moja kwa moja sababu iliyopelekea gari lako kuwa hivyo,maana case kama hiyo yako haina jibu rahisi la kiufundi kwani mwingine anaweza akawa amewasha A/C na wakati huohuo akawa ameacha dirisha wazi,hapo baridi ya A/c haitakuwa na effect sahihi! Au maeneo unayoishi yanaweza kuwa ya baridi!
 
Back
Top Bottom