A/C katika gari imeundwa kwa Vifaa kadhaa vinasaidia kuleta ubaridi

HIVI INAKUAJE

MKUU INAKUAJE GARI NIKIWASHA AC MCHANA UBARIDI KWENYE GARI UNAKUWA KWA MBALI ILA USIKU MPKA NAHISI KUGANDA INAPIGA BALAA SIJAJU TATIZO MSAADA WAKO MKUU
 
HIVI INAKUAJE


MKUU INAKUAJE GARI NIKIWASHA AC MCHANA UBARIDI KWENYE GARI UNAKUWA KWA MBALI ILA USIKU MPKA NAHISI KUGANDA INAPIGA BALAA SIJAJU TATIZO MSAADA WAKO MKUU
Mkuu bado sijaelewa moja kwa moja sababu iliyopelekea gari lako kuwa hivyo,maana case kama hiyo yako haina jibu rahisi la kiufundi kwani mwingine anaweza akawa amewasha A/C na wakati huohuo akawa ameacha dirisha wazi,hapo baridi ya A/c haitakuwa na effect sahihi! Au maeneo unayoishi yanaweza kuwa ya baridi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…