A Canadian call Kenyans "Pure Monkey "🤔🤔

A Canadian call Kenyans "Pure Monkey "🤔🤔

Bangi ile Miguu na anavuta, ninaitaka mimi.
Generali wa NRM huyo, itakuwa lazima anakula kitu cha Uzbekistan, stimu zake ni ujeuri na kuita kila mtu nincompoop na kuiambia serikali come baby come. [emoji1]
 
kuvuta hiyo kitu na kuliwa nyuma wapi na wapi? Mbona umechanganyikiwa asubuhi
Tatizo ilo jina lako ,watu wenyejina la tony uwa wanatabia fulani za kike kike sijui kwa nini ?
 
Tatizo ilo jina lako ,watu wenyejina la tony uwa wanatabia fulani za kike kike sijui kwa nini ?
Ndugu, hamna uhusiano wowote kati ya jina la mtu na tabia yake.
 
Ndugu, hamna uhusiano wowote kati ya jina la mtu na tabia yake.
Umekosea sana jina linabeba saikolojia 2 ,moja ni ya ndani na yapili ni ya nje ya MTU
Nguvu ya jina IPO kwenye saikoloji spirit
 
Umekosea sana jina linabeba saikolojia 2 ,moja ni ya ndani na yapili ni ya nje ya MTU
Nguvu ya jina IPO kwenye saikoloji spirit
Sawa kama jina linatuelezea tabia, basi nikiangalia mpangilio wa jina lako "Iwiva" , ninagundua kuwa hilo jina linafanana sana na neno "wivu". Itakuwa wewe ni mtu mwenye wivu sana hata kushinda wanawake
 
Sawa kama jina linatuelezea tabia, basi nikiangalia mpangilio wa jina lako "Iwiva" , ninagundua kuwa hilo jina linafanana sana na neno "wivu". Itakuwa wewe ni mtu mwenye wivu sana hata kushinda wanawake
Sifa za watu wote wenye jina la tony baadhi ni hizi
1- wanapenda kujisikia sana
2- wanapenda usafi uliopitiliza
3- they like to be soft
4- wanapenda kunukia perfume
5 awapendi sauti za base wanapenda sauti nyembamba yaani awapendi kuwa na base ya kiume .
Zipo sifa zao zaidi ila sina muda na kuusu jina langu LWIVA umejuaje kuwa ni jina langu kweli ila lako Tony ninauakika 100% kuwa ni jina lako kwasababu najua tabia zenu wenyemajina ya tony hua ampendi kutumia majina feki
 
Sifa za watu wote wenye jina la tony baadhi ni hizi
1- wanapenda kujisikia sana
2- wanapenda usafi uliopitiliza
3- they like to be soft
4- wanapenda kunukia perfume
5 awapendi sauti za base wanapenda sauti nyembamba yaani awapendi kuwa na base ya kiume .
Zipo sifa zao zaidi ila sina muda na kuusu jina langu LWIVA umejuaje kuwa ni jina langu kweli ila lako Tony ninauakika 100% kuwa ni jina lako kwasababu najua tabia zenu wenyemajina ya tony hua ampendi kutumia majina feki
Ndugu, hamna uhusiano wowote kati ya jina la mtu na tabia yake.
Kwa sifa hizo chache nilizo kupa proof me long
 
Back
Top Bottom