View attachment 1153398View attachment 1153401View attachment 1153403
Tunazidi kutanua katika sector ya Manufacturing and Assembling and now design of motor vehicles. Hii gari inavutia sana ukilinganisha na Mobius 1.0 ambayo kusema ukweli ilikuwa sura mbaya. Nafurahi kuona sasa tunadesign magari yanayoweza kuenda guu kwa guu na magari kutoka ulaya. Tuendelee hivyo hivyo.
Alshabab wameua watanzania juzi...mbna hamjaamkia mogadishu...
Toleo la kwanza yameuzwa nyingi tu. Ukija Nairobi utayaona kwa barabara.
Kenya inatengeneza engineers za gari?!
Toleo la kwanza yameuzwa nyingi tu. Ukija Nairobi utayaona kwa barabara.
[emoji23][emoji23][emoji23]taa za land roverToyota Rumio. Wakenya bhana..mlichoweza nyie ni kuweka jina na ngao tu.
View attachment 1153418
wamefanya modifications tu..ha haaa[emoji23][emoji23][emoji23]taa za land rover
Safi sana jombaa, focus, usijisumbue na kelele na majungu za hawa vibwengo. Kenya ya viwanda tunaifanikisha kwa vitendo sio domo domo. Toleo la kwanza la Mobius 2.0, Novemba 2017, zilikuwa ordered zote zikiwa bado kwenye kiwanda. Order nyingi zilikuwa kutoka Kenya alafu U.S., Germany, Uganda na Tanzania. Toleo la pili nalo pre-order zilikuwa zaidi ya 300! >>> https://www.nation.co.ke/business/M...e-second-model/996-4946846-ekco1jz/index.html GoK wakiendelea kuwapa Mobius support miaka ya baadaye mambo yataendelea kunoga zaidi.Hayo magari ya Mobius hapo juu yana number plate za Government of Kenya kumaanisha GOK imeamua kuwapromote, which is a good move.
Mass production and restriction of these Toyota crap is what will give us a breakthrough.I love my country Kenya.View attachment 1153411
I mean engines ."Ingineers" za gari nd'o nini?
View attachment 1153398View attachment 1153401View attachment 1153403
Tunazidi kutanua katika sector ya Manufacturing and Assembling and now design of motor vehicles. Hii gari inavutia sana ukilinganisha na Mobius 1.0 ambayo kusema ukweli ilikuwa sura mbaya. Nafurahi kuona sasa tunadesign magari yanayoweza kuenda guu kwa guu na magari kutoka ulaya. Tuendelee hivyo hivyo.
Hongereni Wakenya kwa hatua nzuriView attachment 1153398View attachment 1153401View attachment 1153403
Tunazidi kutanua katika sector ya Manufacturing and Assembling and now design of motor vehicles. Hii gari inavutia sana ukilinganisha na Mobius 1.0 ambayo kusema ukweli ilikuwa sura mbaya. Nafurahi kuona sasa tunadesign magari yanayoweza kuenda guu kwa guu na magari kutoka ulaya. Tuendelee hivyo hivyo.
View attachment 1153398View attachment 1153401View attachment 1153403
Tunazidi kutanua katika sector ya Manufacturing and Assembling and now design of motor vehicles. Hii gari inavutia sana ukilinganisha na Mobius 1.0 ambayo kusema ukweli ilikuwa sura mbaya. Nafurahi kuona sasa tunadesign magari yanayoweza kuenda guu kwa guu na magari kutoka ulaya. Tuendelee hivyo hivyo.
View attachment 1153880
HABARI NDIO HII KUTOKA NG'AMBO YA PILI KUSINIIII MWA MLIMA KILIMANJARO!!!!
https://twitter.com/shadkikoti
Nyumbu car from Tanzania.
Translate Tweet
4:45 AM · Nov 10, 2013 · Photos on iOS
HAPA KAZI TU!!
View attachment 1153879