Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Is that banana rep.A country where English language is compulsory but agriculture is optional.
They will endup speaking good English with empyrean stomach.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Is that banana rep.A country where English language is compulsory but agriculture is optional.
They will endup speaking good English with empyrean stomach.
kwanini kilimo na si minerals au factory manufacturing au innovation?Kiswahili kimetoka wapi hapa mkuu.
Ni kilimo mashuleni Vs kingereza.
Hiyo ndo sera ya nchi mkuu.kwanini kilimo na si minerals au factory manufacturing au innovation?
au services?
kwanini kilimo?
why this obsession with kilimo?
why imposing and forcing people to do kilimo kwa lazima?
just leave people alone to use their choice and brains to generate wealth for themselves and their dependents using methods they want for themselves.
why forcing them to be farmers tu na si kitu kingine?
kama chakula ni muhimu sana,leave it to the market,the market will shift to cover for the food void itself.
waache watu waamue kitu cha kufanya wanachoona kinawapendeza wao,msiwalazimishie vitu hawavitaki,wenye kuvitaka watavifanya,kama vina hela sana wataamua wao kufanya kwa utashi wao
Sera ya nchi waliyopanga wanasiasa,lakini SILAZIMISHWI kufanya kilimo ndio shughuli yangu ya kupata mali dunia hiiHiyo ndo sera ya nchi mkuu.
Nafikiri ni vizuri haya ya kilimo ukaongea na wanafanya hizi shughuli mkaeleweshana njia bora za kilimo.Ukiongea na mimi wakati interest yangu mimi na investments zangu napenda kuweka kwenye construction au mining au imports,etc ntakua nakuona kichaa tuPamoja na kukitegemea huko bado hawakifanyi kwa ufasaha kwa kukosa stadi na maarifa hata madogo tu badala yake wanalima kizamani.
Weka somo hapo,wenye kulipenda watalipenda wasio lipenda huwezi walazimisha mkuuSasa hiyo nyenzo muhimu kutopewa kipaombele lazima iwe ajabu, kilikuwepo zamani kama somo na shule zake zilikuwepo na matokeo yalionekana lakini leo unazalisha wasomo wajuvi wa kingereza wavivu wa kutekeleza.
Kingereza kimenisaidia leo nakufanyia operation hospitaliMzee kwa nchi hii na ardhi hii tele kilimo kingetoa wengi sana ni vile.
Umesoma kingereza hadi form 4 kinakusaidia nini??
Ukisoma kingereza kwa lazima kisa unaona kina manufaa kwako ni sawa ila kusoma kilimo kisa hakin manufaa kwako sio sawa, mbona unakua na double standard mkuu.Sera ya nchi waliyopanga wanasiasa,lakini SILAZIMISHWI kufanya kilimo ndio shughuli yangu ya kupata mali dunia hii
Nadhani unashindwa kuelewa sawasawa,hakuna anaelazimishwa
Mipango ya serikali na sera za serikali ni sera za serikali,halazimishwi mtu kufanya inachotaka serikali kama sivunji sheria zilizopo
Na kunilazimisha kufanya chochote haimaanishi nitafanya unavyotaka wewe au kwa kiwango unachotaka wewe,hivyo matokeo unayotegemea unaweza feli kupita maelezo,mwisho wa siku haina maana kwako kama serikali
Nafikiri ni vizuri haya ya kilimo ukaongea na wanafanya hizi shughuli mkaeleweshana njia bora za kilimo.Ukiongea na mimi wakati interest yangu mimi na investments zangu napenda kuweka kwenye construction au mining au imports,etc ntakua nakuona kichaa tu
Hizo information pelekea wenye uhitaji nazo,sio wote tunazitaka
Weka somo hapo,wenye kulipenda watalipenda wasio lipenda huwezi walazimisha mkuu
Market ndio the ultimate judge mkuu wa hayo masomo unayolazimishia watu into their throats.
Kingereza kimenisaidia leo nakufanyia operation hospitali
Kimesaidia nasimamia na kudesign madaraja unayopitisha mazao yako kwenda kuuza
Kimesaidia nimedesign na kusimamia mitambo ya mawasiliano unapigia kila mtu duniani kuuza hayo mazao,bila mimi usingeweza kufanya lolote let alone to exist
Usiwe na dharau ndugu
lugha ni natural instict ya wanadamu nduguUkisoma kingereza kwa lazima kisa unaona kina manufaa kwako ni sawa ila kusoma kilimo kisa hakin manufaa kwako sio sawa, mbona unakua na double standard mkuu.
Kila binadamu ana haki ya kujua kingereza !!(ajabu hii) na sio kila mtu ana haki ya kuwasiliana. Usichanganye hapo ndgu, lugha bi nyingi sana sio kingereza tu kuna hadi sign & gesture lg's.lugha ni natural instict ya wanadamu ndugu
sio kilimo
ni natural na ni haki ya kila mwanadamu...kilimo sio haki na natural to human beings
kufananisha lugha na kilimo ni uhayawani unaonesha hapa
Mleta mada mmemwelewa kweli kwann kama haujamwelewa usipite tu bila commentMkuu
Maarifa yote tuliyonayo mashuleni na vyuoni yote tume import kutoka Western super countries
Maana sisi kama Waswahili hatuna maarifa yetu tuliyovumbua
Ni lazima tutumie nyenzo ya Kingereza/English ili tuweze kuyaelewa haya maarifa ya mzungu yatusaidie karne hii ya 21.
Sisi kama Waswahili hatuna maarifa,yote tume import,kuanzi la Kwanza mpaka PHD!
Maarifa ni sahihi zaidi kama yapo kwenye lugha yake original ambayo ni English,ukitafsiri tu maarifa yanaanza kupotea!
Chagua kimoja,upate maarifa ya ubabaifu au usome kwa lugha yao original ya mvumbuzi ambae ni mzungu?
Ni hatari.A country where English language is compulsory but agriculture is optional.
They will endup speaking good English with empyrean stomach.