balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Mimi tena ntakukumbusha tu..Thanks
nahisi nakufahamu wewe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi tena ntakukumbusha tu..Thanks
Hakuna hata mmoja hata hao waliokuwa wakufunzi na mamaster wetu
Katika meditation,ni kitu gani"neno"hisia na kutafakari" kunakoweza kutumika kuamlisha jambo liwe na likawa?kutatua matatizo au kujipatia maendeleo ya kiuchumi kupitia meditation? Hapa namaanisha ni njia zipi za kuzingatia ili kuvuka sehemu moja kwenda nyingine kwa nguvu binafsi
Kwenye meditation hakuna hisia(feelings) kuna will power, power to create.. Kwamba unataka hili liwe halafu linakuwa
nahisi nakufahamu wewe!
So what?
hivi mkuu kuna tofauti gani kati ya manki na shaolin?
Mkuu mshana jr ntakutafuta tufanye iyo retreat....
Embu mkuu elezea ile journey to west Na king monkey!,
Yey monkey alitokea wap Na ile power??!.
Ile sutra waliyoenda retrieve ilikuwa na maudhui gan kwa wanadam wa kawaida!!!,
Kama kwenye Buddha wanaamin mapepo Na majini viumbe,je kuna chanting yoyote ambayo inawafanya wale majini Na mapepo ambayo yanataka kudhuru wanadamu yakaacha???
Mkuu mshana, samahani kwa kukurudisha nyuma kidogo! Uliwezaje kurudi chuoni baada ya tukio la kupoteza fahamu(kwanini walikuruhusu uondoke wakati umeshajua siri zao na wanajua unapoishi?). Swali lingine ni kwanini hukufukuzwa chuoni baada ya kurudi asubuhi, ukizingatia chuo kina sheria kali na wewe ulitoroka!
Khaaaaa, we dada mbona umemjibu kipagani hivyo mwezio
lazalaza hii ya usiku kwa usiku kwahiyo tutaendelea kiza kikiingia
Playboy dragon ni mnyama wa kufikirika kama ilivyo nguva, ndio maana mpaka kesho hakuna mabaki yake kama yale ya dinosaur