A day in the Buddhist college

mshana jr mkuu ulisema kuhusu taoism!!,

Izungumzie strength n weakness zake!!.

Compare na contrast na mathehebu mengine esp ukristo!

Shukrani
 
mshana jr mkuu ulisema kuhusu taoism!!,

Izungumzie strength n weakness zake!!.

Compare na contrast na mathehebu mengine esp ukristo!

Shukrani
Sorry neo1 kwa kusahau hili ila Taoism ni zile imani zisizoamini katika Mungu mmoja bali katika miungu Taoism iko kwenye mlolongo wa dini za Buddhism Krishna nk nk ...Lakini tofauti yake nk hizi nyingine ni kwamba kuna mambo mengi ya kimila na nguvu asili/uchawi ndani yake. Ndani yake pia kuna makafara meditation na hata yoga ya ndani
 
Huyu ndio Tao/Dao mwenyewe kwa kuchanganya imani mbali mbali na philosophia ya asili ya China aliweza kuitangaza hii imani na baadae ikasambaa Korea Japan na nchi zote zimazoizunguka China na mbali zaidihii ni alama muhimu kwa Tao kama ilivyo msalaba kwa wakristo au mwezi kwa wa Islam nkTaoism inaamimi hata katika wema wabaya wapo na katika wabaya wema pia wapo
 
ulisema utatujuza changamoto ulizopata baada yakurudi nyumbani hapa Tz, na je nimuda mrefu tangu urudi, ulifanukiwa kuanzisha familia yako? I mean mke na watoto?
 
Hii nilifanikiwa kuipata nikaeretrieve last week ila siioni tena ngoja nione kama naweza ipata tena
Nimeipata ila wamebadili heading imebatizwa ”Siku hizi matendo hayaendani na matendo” imekosewa hivyohivyo.
 
mshana jr nimeiguatilia thrid hii siku tatu nzima kwa umakini mno, nashukuru kwa ufafanuzi wako pia. Kuna mdau aliweza kufanunua kati ya shetani na lusifa, kwa maelezo yake nimegundua (kama ni kweli lakini) ubundha na hizo imani nyingine ni zao la lusifa.
Na huo ubudha na imani nyingi za mashariki zimekuja kabla ya Kristo, sasa ni mwaka wa 2016 "kwa masio tu lakini" tokea azaliwe Kristo na kuhubiri habari za toba na ondoleo la dhambi liletalo Wokovu. Ina maana mpaka leo hii hizi habari bado tuu kuwafikia? Na maana yake nini mafundisho ya mwovu wa Mungu kuenea kwa kiasi kikubwa hivi?
Na huyo bwana alieamka na kupata ufunuo huo wa kweli 8 sijui njia 8, je hayo alio yapata yana faa kwa Mkristo anaeishi kwa imani kuyaishi hayo?
Nakuna uwezekano wawatu hao kumwabudu Mungu wa kweli kabla ya kiyama?
Na tofauti ya yoga na meditation nini?
Na kati ya hao wawili shetani na lusifa ninani kerubi?
Tulifundishwa sana kanisani sala za ukimya je zina uhusiano na meditation? Niwie radhi kwa maswali hayo.
 
Aisee kama ukiweza tafuta post yangu moja inayoitwa 'zimebaki story' au kama kuna mwenye kuweza kutoa msaada katika hili tafadhali
Au ngoja niutafute kisha nikutag
Mkuu sijui kwann huu uzii ulinipita humu..ila sio mbaya ndio uzuri wa mitandao kama itakuwa vyema unitag na mm huko nimekuwa inspired kujua zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…