Nimeisoma kwa kipindi kurefu
Sorry neo1 kwa kusahau hili ila Taoism ni zile imani zisizoamini katika Mungu mmoja bali katika miungu Taoism iko kwenye mlolongo wa dini za Buddhism Krishna nk nk ...Lakini tofauti yake nk hizi nyingine ni kwamba kuna mambo mengi ya kimila na nguvu asili/uchawi ndani yake. Ndani yake pia kuna makafara meditation na hata yoga ya ndanimshana jr mkuu ulisema kuhusu taoism!!,
Izungumzie strength n weakness zake!!.
Compare na contrast na mathehebu mengine esp ukristo!
Shukrani
Zilishapita kubwa ilikuwa ni kuanza kula nyama tena...naishi kwa furaha sasa nina familia ninayoipenda sana na maisha si habaulisema utatujuza changamoto ulizopata baada yakurudi nyumbani hapa Tz, na je nimuda mrefu tangu urudi, ulifanukiwa kuanzisha familia yako? I mean mke na watoto?
Yap! Kuna threads zako nimekuwa nazitafuta sizioni! Kama zimebaki story n.kPoa ila JF interface ya sasa ni ngumu mtu kujua kama umem tag
Nimeipata ila wamebadili heading imebatizwa ”Siku hizi matendo hayaendani na matendo” imekosewa hivyohivyo.Hii nilifanikiwa kuipata nikaeretrieve last week ila siioni tena ngoja nione kama naweza ipata tena
Alaf mods wana tabia ya kufanya threads kama zao,utadhan sio user generated contents,watabadil heading na mengne wakat wewe hujatoa news Bali ume-share knowledge, wajiangalie,siku hz wamekuwajeNimeikosa naomba unitag
Mkuu sijui kwann huu uzii ulinipita humu..ila sio mbaya ndio uzuri wa mitandao kama itakuwa vyema unitag na mm huko nimekuwa inspired kujua zaidiAisee kama ukiweza tafuta post yangu moja inayoitwa 'zimebaki story' au kama kuna mwenye kuweza kutoa msaada katika hili tafadhali
Au ngoja niutafute kisha nikutag