Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo ni mambo ya kishirikina tena ya kuzimu Usijaribu, wale wanazimiliki kiasili ni karama yao na kipaji toka kwa MunguMshana je wanaomiliki hizi nguvu kiasili inakuaje manake nmeshawah muuliza mtaalamu wa kiaenyeji akaniambia kama unataka kua kama mm shart la kwanza ni kwenda kukichimbia kaburin na kuacha kichwa juu tu kiwlwli chote kinabaki chin kwa Masaa kadhaa je kuchimbiwa kaburin ni suala la ujasiri au embu nijuze ww mwenye uelewa kidogo kuhusu haya
Ni Elimu gani hiyo Mkuu?! Je , Namimi naweza kuipata?!Kupata ufahamu wa juu zaidi kuhusu elimu isiyojulikana
Lakni c unarhsiw kuachan nao au ndo mazn? Mi nimevutiwa naoInitial/basics ni miaka miwili baada ya hapo unaenda Asia miaka mitatu, mwishoni mwa mwaka wa tatu unafanyiwa ordination kuwa official Buddhist master
Ordination si kitu kidogo nikitu kikubwa mno kwakuwa ndio unapigwa mhuri rasmi