[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Tukishatanguliza shekeli tutafarakana tufanye bila shekeli zitakuja tu zenyeweMkuu kwa mchanganyiko wa taaluma ulizo nazo...anzisha kitu kama dhehebu lanye mrengo huru la kiafrika zaidi.
Kama kawaida unikumbuke niwe mtunza kapu la sadaq.
AaamenHe believes in reincarnation, sounds kind of masonic (new age movement - meditation, opening of the third eye.au Dangerous staff bro), seeking enlightenment in Buddhism ( bro u'r seeking the light bearer I hope u know what that means). Advice: repent , follow Jesus Christ, seek salvation through him not some false enlightened demon possessed monks .
Basi sawa,kuna mdau yupo humu atatupatia eneo,akishaona ujumbe huu ata Confirm.[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Tukishatanguliza shekeli tutafarakana tufanye bila shekeli zitakuja tu zenyewe
Dalai Lama ni kiongozi wa Kibuddha kama ilivyo PapaDalai Lama ni nani katika imani ya Buddha na ameoa na ana watoto?
Je ukiingia katika imani ya Buddha unaachana ya Imani yako ya Ubatizo/Mkristo?
Je Buddha wanaaminini katika Ubatizo?
Kuna Tetesi kwamba hawali Nyama ya Ngombe Sababu wanaabudu Ngombe Je kuna ukweli Juu ya Hilo?
Dalai Lama ni kiongozi wa Kibuddha kama ilivyo PapaDalai Lama ni nani katika imani ya Buddha na ameoa na ana watoto?
Je ukiingia katika imani ya Buddha unaachana ya Imani yako ya Ubatizo/Mkristo?
Je Buddha wanaaminini katika Ubatizo?
Kuna Tetesi kwamba hawali Nyama ya Ngombe Sababu wanaabudu Ngombe Je kuna ukweli Juu ya Hilo?
Kwa hiyo hiyo elimu isiyojulikana waliokuwa wanaifundisha waliijulia wapi??Kupata ufahamu wa juu zaidi kuhusu elimu isiyojulikana
Umeulizwa hapo juu VP kuhusu gharama za usafili nk....ukasema tulipelekwa na dini....ndo nauliza no dini gani?Sikupelekwa na dini yoyote
Wewe ulipelekwa na dini gani? Nimeona hapo juu.
Mkuu ni elim ipi iyo isiojulikana?nitoe gizani mkuuKupata ufahamu wa juu zaidi kuhusu elimu isiyojulikana
Owkay nimekuunderstandWaumini wa dini ya kibuddha