A day in the Buddhist college

Mshan jr hongeraaa

Mm ni maswali in Gawanya sijui labia yameulizwa

1 wakatii unatorokaa Kuja kujirushaa mjini ulikikuanaa vijana mkatofatiana na kujenga u adui Sasa maswali yangu

A. Kisaa cha ugomvi wenu ulikua nini
Vijana wale wa kule mtaani ishu zilikuwa mademu
 
Pesa za matumizi kujirushaa na kununua silaha ulipata wapi
Tulikuwa tunalipwa pocket money kila mwezi ambayo hatukuwa na kazi nayo kwakuwa tulipata kila kitu bure toka chuoni
Lakini vilevile tulikuwa tunapewa bahasha kila tulipoenda kufanya ibada nje ya chuo hasa za mazishi
 
Duh mkuu hiyo ilikuwa ni shida ila hongera Vp vigezo vyao vya kujiunga huko
 
Duh mkuu hiyo ilikuwa ni shida ila hongera Vp vigezo vyao vya kujiunga huko
Mmh kwasasa nadhani ni kujitegemea kwa kila kitu, walioharibu ni wale waliopelekwa kwa gharama za chuo kisha wakaingia mitini
 
 


Hapo wanaabudu kivuli chako au vipi mkuu?
 
Initial/basics ni miaka miwili baada ya hapo unaenda Asia miaka mitatu, mwishoni mwa mwaka wa tatu unafanyiwa ordination kuwa official Buddhist master
Ordination si kitu kidogo nikitu kikubwa mno kwakuwa ndio unapigwa mhuri rasmi
Ulifikia hatua ya kupigwa muhuri?
 
Leo asubuhi mi na mme wangu tulikuwa tunamsikiliza kijana wa canada alivyohitaji consent ya wazazi ndo awe monk. Wewe uliipata au ulisepa?? Huku tuna watoto wadogo sana as young as 7 years lakini wengi wanatoka familia maskini saa 12 wapo barabarani kuomba chakula ambacho ni kitu cha kawaida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…