Hapana ningekuwa upande wa imani yangu ya asili kwakuwa sikuwahi kuiachaKwa hiyo kaka kwa kipindi hiko ulipokuwepo huko chuoni ungekufa ungekuwa upande wa kutoamini katika Mungu mmoja.Ungekuwa upande wa lucifer kama sio satan.
Mungu wa kweli huabudiwa kwa kweli ya dhati na waliopitia changamoto kama hizi kwakuwa wanaona zaidi ya wengine na hawayumbishwi na manabii na mitume bandiaMkuu mshana je elimu hii unawapatia pia na watoto wako , kama ni ndio huoni kwamba wanaeza bobea kwenye haya mambo na wakaacha kumwabudu Mungu wa kweli ?
kweli kabisa an awakenedMungu wa kweli huabudiwa kwa kweli ya dhati na waliopitia changamoto kama hizi kwakuwa wanaona zaidi ya wengine na hawayumbishwi na manabii na mitume bandia
Mimi leo hii ninajua kwa hakika kwanini nimeamua kusimama na Mungu aliye hai... Ninajua kwa hakika kuhusu hili tofauti na wengine wengi
Lee aliuawa na mchepuko wake Betty Ting Pei (actual perpertrator) na kuna conspiracies behind this.Yale ni kweli lakini yamekuwa exaggerated kunogesha story ishu ya kuvunja tofali la kati huku la juu na chini kubaki salama ni kweli kabisa ma majasusi wengi sana kipindi cha nyuma walitumia sana hiyo style kutekeleza mauaji ya watu mbalimbali
Unapigwa kofi nje hakuvimbi wala kuacha alama lakini ndani kunavujika vibaya kabisa hiyo style ni lethal weapon na hata Bruce Lee myth zinasema yule aliyemuua alikuwa bingwa kwenye Tai chi
Kuelea ukiwa umesimama juu ya uso wa maji? Au kulala kama chura?Ina maana levitation hamkufundishwa? Levitation ni uwezo wa kutawala gravitational forces na kuelea juu ya maji nahisi chuo chenu kilikuwa fake pole sana
Brandnew yaani virgins?Mmh kwa chuo chetu tulikuwa hatuna jinsia pinzani, lakini wapo na wanaruhusiwa baada ya kuthibitishwa kuwa ni 'brand new' 0 km
Mnavyowapa hizo punje mnawaona?Sehemu ya chakula tulichopika, ni kati ya punje saba mpaka 11 za mchele
Wazee wa fursa![emoji3] umejuaje hajakitumia?Nadhani hujajua jinsi ya kutumia kipaji chako vizuri.
Ningeshakuwa milionea fulani hivi.
aah wapi! hamna ukauzu wala nini.Kuanzia leo sicheki tena ukauzu tu.