A friend to talk to

Son.j

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2013
Posts
1,010
Reaction score
2,356
Sometimes life huwa linakwenda vile ambavo hatutarajii but one of the biggest strength of human being lies on is friendship, ndo maana kila unapokwenda unajitahidi kupata rafiki hata kama ni mgeni na kila mtu anajua lengo la yeye kuweka urafiki na mtu/watu ni nini.

But here I am in the middle of the darkness and back at the time i was having this kind of Best friend ambaye we were talking to each other when things goes wrong en sort of things like that but now we are no longer on that lane.

So now I NEED A FRIEND no matter where she is. Asiwe more than 27 years old
 
Upendo wangu mimi na wewe RAFIKI hautofika mwiisho wanaosema na waseme sisi wala hatutofika mwiisho..mr nice

Salaam kwako rafiki,Hutaki rafiki mulume unataka wa jinsia ya kike tuu..?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
honestly.. nahitaji tu rafiki, wa kusikilizana nae na kushauriana nae
 
Upendo wangu mimi na wewe RAFIKI hautofika mwiisho wanaosema na waseme sisi wala hatutofika mwiisho..mr nice

Salaam kwako rafiki,Hutaki rafiki mulume unataka wa jinsia ya kike tuu..?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hio ni typing error mkuu ilitakiwa iwe he/she
but since nimeandika she, inaelekea nahitaji sana wa kike, maranyingi inapokuwa different sex inapendeza ila no limit, no boundaries... anyone pliz
 
I need a friend too but naogopa I'm boring. Wish upate a good friend
 
I need a friend too but naogopa I'm boring. Wish upate a good friend
Thank you, but once utakapoona that u really need a friend..
my door is always open.
 
Mkuu nikutakie kila la kheri

Ila nilikua nataka kujua katika maisha yako ya kila siku,labda kazini,wakati unasoma?hauna marafiki kabisa?
 
Mkuu nikutakie kila la kheri

Ila nilikua nataka kujua katika maisha yako ya kila siku,labda kazini,wakati unasoma?hauna marafiki kabisa?
nlikuwa nao.. lkn sjawah kubahatika kuwa na rafiki kama nnae mhitaji, wengi washkaji tu.. people who mind their own business, they dont give a fu*c..
 
nlikuwa nao.. lkn sjawah kubahatika kuwa na rafiki kama nnae mhitaji, wengi washkaji tu.. people who mind their own business, they dont give a fu*c..
Nimekuelewa Mkuu

Lakini kama hao ambao ndio upo nao karibu,mnafahamiana lakini mmeshshindwa kuwa marafiki,huku mtandaoni utaweza kumpata huyo unamuhitaji?
 
Nimekuelewa Mkuu

Lakini kama hao ambao ndio upo nao karibu,mnafahamiana lakini mmeshshindwa kuwa marafiki,huku mtandaoni utaweza kumpata huyo unamuhitaji?
ujue yule mtu ambaye hamfahamiani hata ukiwa unahitaji ushauri unaweza mwelezea kila kitu since humjui vzur, but yule unayemfahamu unaweza kumwonea aibu flani hivi..
yes..naweza nkampata.. najua unajua kuna ile one out of hundred so i believed among these hundred fake people, i can meet this one person i need
 
Upo sahihi sana Mkuu,wapo watu wema sana tu huku!

Kila la kheri!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…