A friend to talk to

A friend to talk to

ukiangalia ambulance ilivoandikwa kwa mbele unaweza usitambue haraka, ila ukiangalia kwa kutumia side mirror utasoma vizuri tu.

nazan lugha imekua ngum point yangu kubwa n kwamba nini hasa unakithitaji kwa huyo Rafiki unaemtafuta?
 
mkuu hata kichwa cha habari hujaelewa tuu???
😀 mwanzo umesema marafiki zako wa mwanzo walikua wanajali mambo yao tu hapa mkuu ndio sijakuelewa kabasaaaaa yawezakua mwenzetu unahitaji uangalizi maaalum mpaka hao wengne ote wakashindwa kukutimizia
 
Heheh mambo ya intanet enzi za darhotwire, yahoo chat rooms, h5 etc!!!
 
Back
Top Bottom