A Journey to the smart world: Ifahamu teknolojia ya Artificial Intelligence na utendaji wake wa kazi

Kwa jinsi ulivyoielezea artificial intelligence either huijui au unajua but very shallow mkuu.
I'm sorry to say that.
 
Mkuu hebu fafanua hasa hoja yako ni ipi kwa maneno haya?? Ulichosema nimeelewa, lakini je Unataka kusema nn kuhusu AI??
Unapoongelea machine learning kwa mfano
ukitengeneza algorithim inayoweza kutambua sura za watu getini
itawatambua lakini siku wakija wamevaa kofia au miwani na wewe hukuifanya
kutambua katika mazingira hayo haitawatambua so huwezi kusema hapo kuna learning.
Same applies kwenye deep learning.
 
Dah!!! mkuu mbona unashanganza.
Hapo unasema weak haziwezi nje ya programmed task,
Strong zimekua programed kufanya vyote nje ya programed task.
Unajua ulichomaanisha hapo?
Very contradicting.
 
Hapa pia umetumia idealistic thinking.
Technology ina-advance kwa sababu ya kutafta power kurahisha maisha ni minor reason.
 
Aisee kweli usichokijua ni usiku wa giza.Kwa matango mwitu mliyo lishwa,it seems there is nothing I can do to change your mindset.
Ninyi
ndio mlioaminishwa kwamba maendeleo ni kuwa na gari nzuri,nyumba nzuri,barabara nzuri,mitandao ya simu,social media nk.nk..Wajinga kweli kweli
Sasa maendeleo Nini Nini Kama si vitu hivi.
 
Ninyi

Sasa maendeleo Nini Nini Kama si vitu hivi.
Mkuu maendeleo sio vitu hivyo.Development ni endevour yeyote inayokuletea Afya nzuri na "Real Spiritual Well Being".Anything short of that is destruction.Note that I have said Real Spiritual Well Being.Not any spiritual experience is real.
 
Mkuu maendeleo sio vitu hivyo.Development ni endevour yeyote inayokuletea Afya nzuri na "Real Spiritual Well Being".Anything short of that is destruction.Note that I have said Real Spiritual Well Being.Not any spiritual experience is real.
Maendeleo ni

'one step/stage to another'

Hi Step inaweza kuwa Afya, uchumi, miundombini nk nk

Sasa unasemaje kilichoandikwa pale juu si maendeleo.
 
Maendeleo ni

'one step/stage to another'

Hi Step inaweza kuwa Afya, uchumi, miundombini nk nk

Sasa unasemaje kilichoandikwa pale juu si maendeleo.
Mkuu,laiti ungejua,na narudia laiti ungejua,kwamba definition ya maendeleo haikutokana na sisi,imetokana na mabeberu.Na ilikuwa na nia moja tu,kutupumbaza ili waweze kutimiza malengo yao maovu kwetu.Hebu soma hii! Inasikitisha,but true.

Tafadhali soma 😭😭😭

Maneno ya kikatili ya "Richard Smith", mpiga gitaa maarufu wa Uingereza, wakati wa mahojiano...

KUHUSU WAAFRIKA
°°°°°°°°
Nimeulizwa mara nyingi ninavyowaona Waafrika, hapa ndivyo ninavyowafikiria Waafrika, wasio na lugha na wasio na miiko.

Wanauza kila kitu kwa mzabuni wa juu zaidi, hata ardhi. Kisha wanajitia sumu kwa kila kinachopatikana.

Wachungaji wao au wanaoitwa watu wa Mungu. Wanaibia mikusanyiko yao na kuwa mabilionea katika mataifa yao maskini sana. Walifanya makanisa yawe urithi wa familia...baba, mama, watoto na mambo mengine ya kibiashara.

"Mimi sio mbaguzi wa rangi kwa sababu siamini hata sekunde moja kuwa mimi ni bora kuliko mtu Mweusi". Tofauti nao ni kwamba, "tunafikiria vizazi vyetu", sisi ni vikokotoo, tunalinda masilahi yetu na tutaua kwa ajili hiyo ikihitajika".

"Hatuna hisia, tumepita hatua hii". Ikiwa Simba anamhurumia Swala, ndiye atakayekufa kwa njaa. "Wana simba nyumbani, lakini hawaelewi sheria za asili"!!!.

"Kwa kila kitu, wanaamini Ushirikina na Dini".
Tofauti kati ya wengine na Weusi ni, "wakati wengine wanatafakari, Weusi hawafikirii, hawatumii uwezo wao wa kiakili na Weusi wachache sana wanachambuzi".

Na watu wachache Weusi wanapotoboa, tunawakubali kwa upande wetu au kuwaondoa kwa njia moja au nyingine, mara nyingi, kwa mkono wa Weusi wengine.

"Tumewaletea Mungu wetu na kuendelea kubuni dhana zisizoeleweka ili kuwachanganya zaidi".

Baada ya miaka mia, wazao wao watakuwa watumwa zaidi ya walivyo sasa!!!
"Tayari hawana furaha kuliko kizazi cha wazazi wao", na kwa ujinga wanaamini kwamba idadi itakuwa nguvu yao.

"Angalia tu jinsi wanavyozama baharini kuja Ulaya". Tuliwashinda kwa makumi kadhaa yetu na usaidizi hai wa viongozi wao (Weusi wanaouza zao kwa AJIRA FEKI/UZINZI)

Tukawalazimisha waongee na kuandika kwa lugha zetu!!!..wanahukumiana hata kwa kiasi gani mtu anaweza kuongea kama sisi. Tutawadhibiti vizazi vyao kuliko tunavyowadhibiti hivi sasa. (Inatokea tayari!)

Kama wakipewa nafasi wako tayari kuacha ardhi yao ili kuja kama watumwa kwa hiari, badala ya kujenga ardhi yao kwa dhamira na kujitolea

Watu wengine waliuelewa mchezo wetu, (kama Wachina, Wahindi, Wakorea, n.k.) walianza kutumia maarifa ya kiufundi kama sisi kulinda na kuwakatisha tamaa, lakini Weusi hawakuelewa chochote.

"Samahani kuwa mkatili sana katika uwasilishaji wangu. Hakuna cha kibinafsi, niko wazi tu."

(Richard Smith)

Members
Akili iliyo HAI Haichoki Kufanya TAFAKURI
 
Unazungumziaje vita inayoendelea sasa hivi mkuu???
 
Umeongea bonge la point machine learning na AI kwa ujumla inapewa sana hype yaan iko overrated sijui kwanin inasifiwa sana
 
Unazungumziaje vita inayoendelea sasa hivi mkuu???
Ni step ya kuelekea kwenye NWO,where remaining humanity who will be serfs and and Zombies will be fully controlled by Globalists of the likes of Klaus Schwab.
 
Duh...
 
Richard,
Kwa Tanzania bado kuna ukakasi mkuu kama bado tunashindwa kumudu 4G/4Glte ndio itakua hizi advanced tech.

Itatuchukua muda sana hadi kuendana na kasi ya dunia
Unasema 4G akati watu ata vyoo hatuna tunajisaidia porin tunaficha uso na majani?!
 
Ni step ya kuelekea kwenye NWO,where remaining humanity who will be serfs and and Zombies will be fully controlled by Globalists of the likes of Klaus Schwab.
Sir, you're being paranoid you know...
Think again
 
Mkuu maendeleo sio vitu hivyo.Development ni endevour yeyote inayokuletea Afya nzuri na "Real Spiritual Well Being".Anything short of that is destruction.Note that I have said Real Spiritual Well Being.Not any spiritual experience is real.
You're hallucinating pal
 
You're hallucinating pal
Sikulaumu,hujui why AI.Wewe umepewa the "pros" of AI,tafuta "Cons" zake utachoka.Usiwe waku danganywa danganywa wewe,Globalists hawana wanacho kuletea wewe cha faida kwako who are you after all.Hivi unajua kwao wewe ni "useless eater" who is to be eliminated,and they are doing it.Hivi unajua we ni "grasshopper" wa kuwa sprayed with insecticides ujifie mbali,and they are doing it.Hivi unajua wewe ni mfugo wa kutolewa kafara,kuliwa nyama na kuwa culled,kunyonywa damu na kudangwa various chemicals kama Adrenaline na Adenochrome!Amka wewe,acha ujinga.
 
Nje ya mada kidogo kama hutajali. Huyo kwenye avatar ni wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…