A Journey to the smart world: Ifahamu teknolojia ya Artificial Intelligence na utendaji wake wa kazi

Unachekesha kweli dogo.

Okay let me take u back tulipoanzia.

Mwanzo nmekuquote ulisema "AI ina faida nyingi kuliko hasara" na ndipo concern yangu ilipo kwenye hio line

Nikaja kukuquote nikimaanisha AI ina madhara kuliko unavyodhan sababu probably upo nje ya game lenyewe na nikakupa mfano kwamba elon, woz na wengine wameshaandika na kusain barua ambayo imelenga kuzuia maboresho zaidi kwenye AI, na ndani ya hio barua GPT3 na GPT4 ni moja za topics, mmm nikachagua kutolea mfano.

Sasa wewe ukaja tena unaniquote unasema hio barua umeshaiona na umeisoma so unaandika unachokijua.

Baadae tena unaanza kuongea uchwara tu ndo maana kufupisha story nikakwambia kwamba hatukuelewana toka mwanzo uliponiquote, hukuelewa naongelea barua gani wewe ukadakia juujuu bila kuelewa hio barua na dhumuni la mm kuiingiza kwenye comment yangu.

Yote hayo ni kwa sababu husomi vitu ukaelewa, unakurupuka tu uonekane smart. Sasa hadi hapo mm na wewe nani analeta ujuaji? Ungekua na akili ungeishia hapohapo niliposema hukunielewa toka ulivyoquote comment yangu ya kwanza

Usiforce sana kuonekana smart dogo, bandiko zako nyingi kuhusu tech humu ni uchwara tu nasomaga nacheka, endelea kuandika khs movies haya mambo waachie wataalam wake
 
Be Humble, Ujuaji sio kitu kizuri.
 
Nzuri
 
So this is your faith?👉Five-Percent Nation - Wikipedia

Kama ndio imani yako hii,no wonder unaishabikia AI kishabiki bila facts.Da'Vinci naomba niseme bila kumung'unya maneno,the faith is Satanic,I am sorry.Infact even the name Da'Vinci has demonic roots.Anyway ndio njia uliyochagua,good luck.
 
Hakuna anaekataa matumizi ya AI kwani ni sayansi ambayo haikwepeki kwa sasa.

Suala ni kuhakikisha AI yaundiwa framework, iwe regulated na ifuate ethics katika matumizi yake.

Kwani hadi sasa AI imeanza kutumiwa vibaya au kwa kutofahamu au kwa makusudi nchi nyingi zimekurupuka kununua AI programs bila kufahamu undani wake na kusababisha sintofahamu na masuali miongoni mwa raia.

Kama nilivyosema huko juu AI sasa yatumika maeneo mengi viwandani, mahospitalini, jeshini na sasa wanafunzi wa vyuo vikuu wamegundulika tumia GPT chart kufanya coursework ambayo yasababisha ugumu katika marking.

Mfano mwingine ni matumizi ya AI katika utambuzi wa watu kupitia program za facial recognition ambayo yasababisha watu kuwa "profiled" kwa maisha yao yote jambo ambalo ni kinyume na "ethics" na uhuru wa faragha.

AI ikifanya facial recognition huweza pia |(kwa bahati mbaya) kuwahusisha watu waso na hatia hivyo kukiuka misingi ya ethics na faragha, kwani nyuso za watu huwa ni mali ya AI.

Pia matumizi ya AI sasa hivi yamefikia hadi uwanja wa vita nchini Ukraine ambapo kampuni kama ya Clearview ina wateja katika nchi mbalimbali duniani ambazo zatumia AI kujaza kanzidata zao kwa mamilioni ya mapicha.

Hivyo AI ina faida zake lakini hasara ni kubwa zaidi kutokana na kuwa huenda data za watu zikaangukia kwa mikono ya wahalifu.

Ndo maana nchi wahusika na watengenezaji wa programs za AI khasa nchi za EU na US sasa hivi wapo kutengeneza "code of conduct" ili kuweka sawa masuala ya uwajibikaji.

Nimeshangaa juzijuzi kusikia mpango wa serikali ya Tanzania kupitia wizara ya mambo ya ndani kukubali kushirikiana na taasisi ya Belinda Gates kutaka kutengeneza vitambulisdhio vya taifa ambavyo ni Universial yaani viwe vyabeba kila taarifa ya mwenye nacho.

Hivyo kwanza ni hatari usalama wa taifa kushirikisha taasisi za nje kufahamu taarifa za kibaolojia (Biometric data) ambazo zitapelekea wabeba vitambulisho kuwa chini ya "biometric surveiilance" programs bila kufahamu.

Pili, ni usalama wa kanzidata yenyewe kwamba kuna uhakika upi wa usalama wa taarifa za wabeba vitambulisho kutoka matishio kama ya udukuaji na uharibifu wa mitandao.

Hivyo AI ina faida zake katika kuboresha mazingira na ufanisi wa kazi, lakini hasara na matatizo yake bado ni mengi na makubwa.
 
Mkuu imani ni kitu complex hivyo inabidi umuache mtu aamini kile aaminicho bila kumbeza
 
Mkuu imani ni kitu complex hivyo inabidi umuache mtu aamini kile aaminicho bila kumbeza
Yeah,ndio maana nimesema "good luck." sijakubeza per se.Ila huoni kwamba imani hiyo is a man's creation,and has nothing to do with the true God,but with a created being,and that is Satan.To me Da'Vinci it would be wise to worship the Creator rather than the created being!In the Book of Romans 1:25 we read,
"25 Who changed the truth of God into a lie, and worshipped and served the creature more than the Creator, who is blessed for ever. Amen."

What does this verse mean.It means that you have changed the truth of God,and you are worshipping a created being,rather than the Creator.So what happens to you and such people according to God,see below in Romans 1:26-32

"26 For this cause God gave them up unto vile affections: for even their women did change the natural use into that which is against nature:
27 And likewise also the men, leaving the natural use of the woman, burned in their lust one toward another; men with men working that which is unseemly, and receiving in themselves that recompence of their error which was meet.
28 And even as they did not like to retain God in their knowledge, God gave them over to a reprobate mind, to do those things which are not convenient;
29 Being filled with all unrighteousness, fornication, wickedness, covetousness, maliciousness; full of envy, murder, debate, deceit, malignity; whisperers,
30 Backbiters, haters of God, despiteful, proud, boasters, inventors of evil things, disobedient to parents,
31 Without understanding, covenantbreakers, without natural affection, implacable, unmerciful:
32 Who knowing the judgment of God, that they which commit such things are worthy of death, not only do the same, but have pleasure in them that do them."

I believe this is what has happened to you Da'Vinci and others like you because God is not human that He may lie,so this must be true.

But Da'Vinci let me tell you this,yes you have strayed away from God.But the door of grace is still open.If you come back to Him,repent and turn from your evil ways,He will forgive you.God is so loving and merciful.Please decide to come back to your Creator today.He is extending His loving hands waiting to invite you back home once more.
 
End of the world
 
Science ni nzuri na mafundi walio wengi watapenda kuinstall na ku run system zilizo incoporated na AI maana zinaweza kuwa na accuracy inayokaribia 100% labda ukakuta degree of error ikawa +/- 0.0001..Lakini habari ya kui incorporate kwenye mwili wangu hio haipo hata kidogo na sitakubali..Na kama nitabakia sina chaguo nitamwomba Mungu aniwahishe kaburini tu..Bora niwe mshamba kabisa kuliko kuingiza vichip kwenye mwili wangu kama mwanamke anaezuia mimba...Pia nimeona wanawake waliowekewa vile vizuia mimba vya mikononi wanableed hadi wiki tatu sijui ni science gani iliotengeneza hivyo vitaka taka.Wanawake wanapumzika kubleed wiki mbili tu kubleed.Sasa labda huko tuendako Artificial intelligence itatuletea mambo mengi sana hasa wale wanaoanzaga kuwa panya wa majaribio kama kwenye covid.
 
Elon Musk gani aliyesaini paper sijui ya kuzuia sijui Nini, si Elon Musk huyu aliye mstari wa mbele kwenye AI na juzi tu katoka kutambulisha AI yake inayofanana na GTP itakayopatika a kwenye mtandao wake wa X.

Si Elon huyu mwenye kampuni kabisa iliyo base kwenye AI ya ku-integrate ubongo na computer nk

Elon gani unayemzungumzia mzee na kupi Cha kuifanya AI kuwa mbaya naona tatizo akili zenu zikisikia neno AI linawaza Movie za Terminator na Cyborg tu munasau AI tumetumia kitambo hata Automation Ni AI powered na zinatumika kuzalisha bidhaa mbalimbali tunazotumia kilasiku

Naona wewe ndio unajifanya mjuaji hapa kuwa Developer haikufanyi kujua kilakitu mzee haitaji uwe developer ili kujia kuhusu Tech things including AI.
 
Teknolojia zimeongeza umri wa binadamu kuishi, Wastani wa umri wa binadamu kuishi karne ya kwanza ilikuwa ni miaka 35, Leo hii Wastani binadamu kuishi ni miaka 70.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…