Time travelling itaendelea kuwa possible in theories tu na si vinginevyo.Nothing is impossible with tremendous ambition..Man
Je, unaweza kutupa facts zinazoonyesha impossibility ya Time travelling?Time travelling itaendelea kuwa possible in theories tu na si vinginevyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
It doesnβt matter, acheke au alie ukweli upo kwenye data.Methuselah akisoma post yako atakucheka
U need the facts, m gonna give u the facts..Je unaweza kutupa facts zinazoonyesha impossibility ya Time travelling
Yani hayo masomo yanaumizwa kichwa balaa...Fizikia na Hesabu zina majibu mengi sana
Kwa erimu hii hii ya sisiemu au? Hahaha πππ.wazazi himizeni watoto wenu wasome masomo ya fizikia na maths..Computer science ndio imeshikiria usukani wa maendeleo ya dunia. Piga makonzi sana mwanao kama anapenda vishazi
Tunahitaji kuitangaza elimu yetu ni janga la kitaifa - ukweli mchungu.Hahahaaa hihii tutafanyaje sasa..
Kitambo sana broh
Kuna AI nyingine ilivunja record miaka ya hivi karibuni kwa kuwashinda kucheza game. Hivi binaadamu anaweza tengeneza kitu kitakachomshinda yeye akili...?
.wazazi himizeni watoto wenu wasome masomo ya fizikia na maths..Computer science ndio imeshikiria usukani wa maendeleo ya dunia. Piga makonzi sana mwanao kama anapenda vishazi