a.k.a za majina ya wanawake zinamaanisha nini?

Sasa na sisi wanaume tuko aware na haya matangazo yasiyolipa VAT?
 
During and after ukisema wewe MTAMU - Then mambo yatakuwa mazuri sana kwako!!
 
Hapo unakaribishwa kiaina... Mambo ya marketing hayo kukujulisha mteja uwepo wa kitu flani cha ziada
 
Hivi jinsia ya Kongosho mbona imekua ni swali la kurudi sana? si nadhani yeye mwenyewe anasema ni mwanamke? sasa sisi ni nani kubishana nae?
lini alisema ye mdada?umemsoma hapo juu,anasema naye mkware!
 
lini alisema ye mdada?umemsoma hapo juu,anasema naye mkware!
Hivi nini maana ya ukware? Cant a woman be a mkware? Nauliza tu maana mi najua kilugha tu kiswahili nduhu!
 
Hivi jinsia ya Kongosho mbona imekua ni swali la kurudi sana? si nadhani yeye mwenyewe anasema ni mwanamke? sasa sisi ni nani kubishana nae?

HIVI mbona mambo mengine yapo too simple? Kutambua gender ya mdau, katika uandishi wa thread vipo viashiria chungu tele vionyeshavyo gender ya mtu.
Ofcz mimi najiamini nnao uwezo wa ku'ditect mijikedume/midumejike ya humu Jf mmoja baada mwingine! Sema tu shughuli yenyewe haina tija wala income!
 
Hahahahahaaa MIJIKEDUME/MIDUMEJIKE.......................Imenifurahisha hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…