A.K.A za wachezaji wageni vs A.K.A za wachezaji wazawa

A.K.A za wachezaji wageni vs A.K.A za wachezaji wazawa

Kuna mchezaji wa kigeni huwa nasikia tu jina lake anaitwa "Mdaka mishale" 😁😁
 
Mpenja ndio anaongoza kwa kubuni A. K. A nyingi kwa wachezaji wa bongo na zikabamba kongole kwake.
 
Mwinyi Kazimoto-Ball dancer
Ramadhani Singano-Messi
Ramadhani Chombo-Redondo
Bakari Nondo-mpiga nyeto
John Boko-Adebayor
Said maulid-SmG
Nadir Haroub-Canavaro
A.k.A ni kwa wachezaji wa timu zee tu sioni Azam,Namungo,Kagera,cost,Mbeya city n.k
 
A.k.a Kali zaidi ni chinga one... Japo sikuwahi kumuona
 
Back
Top Bottom