A lady with wife material is need now

A lady with wife material is need now

the glassroof

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2017
Posts
293
Reaction score
448
Am a man aged 32, single and a civil servant. Education: degree holder.Tribe: sukuma. Color: black but not typical black. Height: neither short nor tall.

Mwanamke anaehitajika: Mrefu wa wastani.
Kazi: sio lazima awe mwajiriwa coz kuelea kwetu ni moja sifa zetu.
Kimo: mrefu wa wastani.
Rangi: maji ya kunde au mweupe, kwa rangi hizi kwetu ni most wanted.
Kabila: kipaumbele kabila langu au yoyote mwenye maadili yanayoendana na yetu.
Awe na damu ya ujasiliamali. Umri: 25- 30.
Dini: mkristo na kama muislam awe tayari kubali dini.
Elimu: std7 au zaidi
Muhimu: kama maisha ni popote basi hata mwanamke ni popote anapatikana. Wenye kejeli pia wanakaribishwa kuchangia but anaehisi tutaendana, karibu PM right now. Unakaribishwa tujaribu bahati yetu, naamini Mungu atafungua milango ya baraka.
Ahsante.
 
MKUU UMEJITAHIDI SANA KUJIELEZA HOPE UTAPATA SOON
 
Mungu akufanyie wepesi upate mke maana hivyo vigezo...[emoji41]
 
Ninaye aunt yangu msukuma but ana 38 yrs.

Yuko vizuri kitabia, ana diploma, anapenda ujasiliamali, kwao Mwanza.

Zaidi ni pm ili nikupe namba yake coz hapendi mitandao ya kijamii.

NB: kabla sijaandika, nimemwuliza kwanza akakubali
 
Hiyo tittle ya thread yako sasa, sijui ni kisukuma, sijui ni kinyantuzu. Duh! Mwadeli gawisa bhaba!
 
Back
Top Bottom