Kifimbo Cheza
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 253
- 116
Sikushauri mwanafunzi tena binti umpeleke Uganda, labda Kama huyo binti humpendi na hela zako huzihurumiiNisaidieni natafuta shule ya a level Uganda ya wasichana kwa ajili ya binti yangu, anadiv 4 points 27. Kapata hist D, eng C, geo D, bio D, chem D, math D, kisw D. Naomba mwenye ufahamu wowote wa shule za huko anisaidie.
kama kweli unampenda bint yako usifikirie kumpeleka kule,tafuta shule nzuri hapa hapa arudie...utajuta.Nisaidieni natafuta shule ya a level Uganda ya wasichana kwa ajili ya binti yangu, anadiv 4 points 27. Kapata hist D, eng C, geo D, bio D, chem D, math D, kisw D. Naomba mwenye ufahamu wowote wa shule za huko anisaidie.
Mmpe maelekezo hapa,tuwasiliane nitakusaidia najua shule nzuri za ug,na usisikilize wa apo juu,kwan shule zinatofautiana,kuna shule nzuri,tuwasiliane nikuconnect na watu wangu wa karibu walioko uko
Ndugu yangu sikiliza ushauri Uganda hakufai kabisa watoto wengi wamerudi wakiwa wameharibika ni bora ufuate ushauri wakumpeleka anze na certificate,kurudia nako taabu niliona wengi repeaters hawafanyi vizur sijui wanakuwa psychologically affected
Ina maan Uganda wanapokea Div kirahisi namna hiyo? Bila kuwa na credits?
Huyu binti ungemtafutia chuo hapa Tanzania aanze na certificate ya miaka miwili, akifanya vizuri ataomba kujiunga Advanced Diploma au degree, wale wenzake watakao pitia A' Level hawatamwacha. Lakini mtoto wa kike kumpeleka Uganda ataharibika na shule hatofanya vizuri (talking from experience).
Huyu binti ungemtafutia chuo hapa Tanzania aanze na certificate ya miaka miwili, akifanya vizuri ataomba kujiunga Advanced Diploma au degree, wale wenzake watakao pitia A' Level hawatamwacha. Lakini mtoto wa kike kumpeleka Uganda ataharibika na shule hatofanya vizuri (talking from experience).