A light touch: Dakika kumi!


Hadithi yako nzuri!
 

His Excellency Commander-in-Chief, Field Marshall, Dr, Al Haj Idi Amin Dada, President of Uganda and Conqueror of the British Empire, had more brains than most of our leaders. He carried all his cash with him - stashed in his bulging pockets as seen above. That way he left no footprints - the dreaded paper money trail all the way to far off lands like where else but UAE ?
 

Mzee Mwanakijiji, I salute you big tyme!

Bring some more info please!
 
mmh watanzania tumekuwa tuna nyumbulisha maneno hata kama la heshima mwisho lina kuwa la kipuuuuuuuuuuuuuuuzi sasa inamaana watanzania tumekuwa waelevu au inamaana tumekuwa wabunifu ebu nisaidieni mie mwenenu nielewe
 
koh koh koh! I'm so tempted to nyambulishaling hilo neno "alale" in the context of Dubai.. but my guts tell me not to. Ila lina ukweli sana.



we are wating for NYAMBULISHALIZATION!.............

PLEASE MZEE MWANAKIJIJI
 
Maumivu ya kichwa huanza polepole,unasikia maumivu makaaaali!
Maumivi yakizidi, nenda Hospitali!!

Hili dudu linalofukuta, wengine tumeanza kukusanya mawe ya kuwapigia wezi wetu.

Mwanakijiji kwa taarifa yako, hii ni ruhusa kwa wananchi kujichukulia sheria mkononi na kuwamalizia mbali mafisadi. Kwa taarifa yako, Mh. Pinda alikuwa sahihi aliposema kama ushahidi upo ya nini kwenda mahakamani?
 
Last edited:
Kama gizani vile, halafu kwa mbaaaali kuna kurunzi inawaka na ndipo unagundua kuwa katika giza totoro kati yako na ilipo kurunzi kuwa harakati NZITO zina endelea halafu unasema ahaaa!!!!!.
Kisha unagundua pia kuwa huo ni ujauzito lakina unajiuliza nini kitazaliwa.
NI MAWAZO TU!!! LAKINI ALUTA KONTINUA .
 
MKJJ Bravo!! Mungu awape maisha marefu hivyo vi'inzi' vifanye kazi yao kwa moyo wote ili kuwakomboa watanzania kutoka kwenye wimbi la UFISADI!! Ninaimani mwisho wa mafisadi umekaribia!
 
wakuu mimi SIJAELEWA PICHA BADO!au inaendelea?
 
wakuu mimi SIJAELEWA PICHA BADO!au inaendelea?

Hiyo ni trela picha ndo karibu inaanza kwani kanzi kana majina ya wakuu wenye dola zetu.

Anyway tanzania ni shamba la babu??? Nakubaliana na pinda sheria mkononi inapothibitika wewe ni fisadi kwa ushahidi wa umma si mahakama. Kanyaga twende.
 
Paukwa pakawa. Katokea chanja gaa, kijino kama kijiti. Mwanangu mwanasiti.....Hadithi hadithi. Hadithi njoo uongo njoo tamu kolea. Nimeipenda, imekaa vizuri. Hongera mzee wa Riwaya.
 
JAMANI eeh!tuendelee kusubiri?mbona sielewi elewi?
 
Hahahaaa I love this forum.

Ka inzi hakaji tena, mnaosubiri picha ianze mmeliwa maana hamna picha!

LOL

FP
 
Mzee Mwnkjj, usije ukawa umetoa data nyingi sana ka-nzi wakakashtukia or are you the master of misinformation?:

Lakini hapo utakuwa umewapatia lazima kesho utaona hata humu JF wataongezeka wapiga debe wa mafisadi.... kwikwikwiiii!
eeeeee... kweli bwana huyo mfanyakazi asije 'akapata ajali ya gari bure' au 'aliugua gafla shinikizo ya MOYO'
 
"Aisee natumaini hukuchungulia haya makaratasi maana wakijue nimefungwa." aliyakusanya haraka na kuyarudisha kwenye kabati lake na kutia "komeo".

Ka nzi: "usiwe na wasiwasi mkuu". Hakukanusha.

The END...

Aaaaaaaaaaaa nafarijika sana na naamini hii muvi itaendelea tuu , nakaaminia kanzi lzm kalichungulia tuu.... kwani hakakuwa na hata simu yenye camera???

I salute you man Mwanakijiji.......
 
Kitu kinapotokea mahali popote pale kina athari mahali pengine pote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…