A message to the Russian ambassador to Tanzania

A message to the Russian ambassador to Tanzania

We the people of Tanzania we support you in this self defense war against USA and NATO who have brought devastating outcomes to mankind globally since 19centuty we the Tanzanias we ask the Russian ambassador to Tanzania to pass throughout all social media and see how Tanzanians and africans in large scale how much we support you!! Russia is a true superpower and our dear Ally.
You are stupid like Putin
 
All, means you and who? Never say all because you don't have any quality of representing me. It is only stupid guys of your like, not all. Get it you fool and your peers!..
Uko sahihi kabisa mtu mwenye akili timamu hawezi muunga mkono mrusi
 
Siyo wa TZ. Ni haya majuha yasiyojitambua, yanayofanya mitihani ya multiple choice halafu yanajiita yamefaulu na kuotka chuo hata kuandika hayajui!. Hakuna mtu mwenye akili timamu atajipa usemaji wa taifa na eti Africa nzima. Ni majitu mpaumbavu tu na haya haya nidyo yanyorudisha maendeleo nyuma kwa sababu ya upumbavu vichwani!.

Ukitaka kujua TZ haijabadilika katika hii nyanja, Mwangalie mama.
Kuna watu mmeelimika hapa Tz mpaka tunawataman wenye akili za kawaida siye[emoji849]
 
We the people of Tanzania we support you in this self defense war against USA and NATO who have brought devastating outcomes to mankind globally since 19centuty we the Tanzanias we ask the Russian ambassador to Tanzania to pass throughout all social media and see how Tanzanians and africans in large scale how much we support you!! Russia is a true superpower and our dear Ally.
Kwanza balozi wa urusi ni mrusi, sijui kama kiingereza anakijua au wewe uende kwake kumtafsiria.
Pili, hatujawahi kuwa na kikao cha pamoja kuijnga mkono urusi, wewe ni muongo unamdanganya balozi.
 
yaani najiskia aibu kuona ,kijana wa kitamzania ambae tunasema taifa la kesho anaona ni msaada kuletewa kondom [emoji24][emoji24].

Yaani uibiwe dhahabu ,halafu uletewe kondom na kujengewa choo ,halafu unakenua meno eti msaada . sijui Nani katuloga [emoji24][emoji24]. Putin hebu ongeza kipigo kwa hao pus ,hata Kama hawahusiki na dhuruma ya hawa majambaz ,Ila kwa sababu wamekubali kutumiwa na majambaz ,Basi wapigwe Tena kipigo heavy!!

Nadhani umedandia Treni kwa mbele Bwashee...

Soma uelewe zaidi
 
Hivi Condom nayo ni point? Hiki chama kinazaa Chawa wa ajabu sana ambao badae wataikabidhi hii nchi iwe kijiji cha Marekani rasmi.

Kila anaejibu usidhani ni chawa, Btw maamuzi ya mtu kuwa chawa wewe yanakuumiza nini?
 
Kujiamulia mambo yako ni pamoja na kujiamulia ujiunge na NATO au Urusi au na Marekani au uombe msaada kwa nani uwe wa shimo la choo ,kivita nk
Urusi bwege anapigana vita ohh sitaki Ukraine ijiamulie mambo yake ijiunge na nani au iombe msaada kwa nani!! Si ujinga huo

Halafu anapiga mibomu Donbas region kushinikiza wajiunge na yeye!!!

Katika modern world mrusi ndio hopeless namba one asiyejielewa.Siasa za expansionist zimepitwa na wakati.Hata Afrika tulishaacha vita hizo za machifu Miaka hiyo akina chifu Mirambo,Mkwawa, Chabruma ,Mangi Meli nk kupigana ku extend their territories!! Putin Hopeless kabisa
Anapigana vita zilizopitwa na wakati za enzi za akina Hitler the expansionist war dog
NATO waende wakamsimamishe wanasubiri nini !!!??
RUSSIA TAIFA TEULE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom