A message to the Russian ambassador to Tanzania

A message to the Russian ambassador to Tanzania

Unajisifia uhuru wa kujiamulia halafu unalilia matundu ya choo, aibu sana yani.
Kujiamulia mambo yako ni pamoja na kujiamulia ujiunge na NATO au Urusi au na Marekani au uombe msaada kwa nani uwe wa shimo la choo ,kivita nk
Urusi bwege anapigana vita ohh sitaki Ukraine ijiamulie mambo yake ijiunge na nani au iombe msaada kwa nani!! Si ujinga huo

Halafu anapiga mibomu Donbas region kushinikiza wajiunge na yeye!!!

Katika modern world mrusi ndio hopeless namba one asiyejielewa.Siasa za expansionist zimepitwa na wakati.Hata Afrika tulishaacha vita hizo za machifu Miaka hiyo akina chifu Mirambo,Mkwawa, Chabruma ,Mangi Meli nk kupigana ku extend their territories!! Putin Hopeless kabisa
Anapigana vita zilizopitwa na wakati za enzi za akina Hitler the expansionist war dog
 
Wewe unaona sifa kupewa msaada wa vyoo na kondom na wamarekani?watu wenye mawazo kama Yao ndo mnasababisha afrika isiendelee.
Mrusi katusaidia msaada gani kuendelea wa maendeleo?

Kazi yake kuuza mibomu tu na mifaru ya kivita .Watanzania hatuli vifaru au mikombora ya kirusi na wala hatusomei kwenye magari ya kivita ya kirusi kama madarasa na hatutumii vifaru vya kirusi kama vyoo vya shule vya kujisaidia

Ana msaada gani kwenye miradi ya maendeleo ya wananchi ? Urusi hopeless kabisa
 
Kujiamulia mambo yako ni pamoja na kujiamulia ujiunge na NATO au Urusi au na Marekani au uombe msaada kwa nani uwe wa shimo la choo ,kivita nk
Urusi bwege anapigana vita ohh sitaki Ukraine ijiamulie mambo yake ijiunge na nani au iombe msaada kwa nani!! Si ujinga huo

Halafu anapiga mibomu Donbas region kushinikiza wajiunge na yeye!!!

Katika modern world mrusi ndio hopeless namba one asiyejielewa.Siasa za expansionist zimepitwa na wakati.Hata Afrika tulishaacha vita hizo za machifu Miaka hiyo akina chifu Mirambo,Mkwawa, Chabruma ,Mangi Meli nk kupigana ku extend their territories!! Putin Hopeless kabisa
Anapigana vita zilizopitwa na wakati za enzi za akina Hitler the expansionist war dog
Ni kweli ni hopless ambaye hafagilii mashoga so wote wenye itikadi za kichoko lazma mumpondee. Siku mkeo akilala na kisu kitandani mkumbatie. Ana uhuru wa kulala na kisu bila kuulizwa
 
Mrusi katusaidia msaada gani kuendelea wa maendeleo?

Kazi yake kuuza mibomu tu na mifaru ya kivita .Watanzania hatuli vifaru au mikombora ya kirusi na wala hatusomei kwenye magari ya kivita ya kirusi kama madarasa na hatutumii vifaru vya kirusi kama vyoo vya shule vya kujisaidia

Ana msaada gani kwenye miradi ya maendeleo ya wananchi ? Urusi hopeless kabisa
Screenshot_2022-07-06-14-45-50.jpg
Hopeless ni wewe mpumbavu mkubwa, sie tunavyo vyakula vya urusi frijini. Kenge maji ww😂
 
Jana Zelensky kampigia simu Filipe Jacinto Nyusi rais wa Msumbiji na kuongea naye muda mwingi ila kaishia kuambiwa tu mgogoro wenu hautuhusu nasi tuna yetu yanayotusumbua ila pole kwa kupoteza wanajeshi wako.
Nalog off Z
 
Hawa tim nato weusi inabidi siku moja tuwaalike waje wale sousage za kirusi na vodka[emoji1787][emoji1787]
Wavaa kobasi na suruali za watoto NATO ataendelea kuwapelrkea moto siku zote za maisha yenu😆😆😆
 
Jana Zelensky kampigia simu Filipe Jacinto Nyusi rais wa Msumbiji na kuongea naye muda mwingi ila kaishia kuambiwa tu mgogoro wenu hautuhusu nasi tuna yetu yanayotusumbua ila pole kwa kupoteza wanajeshi wako.
Nalog off Z
HakiaMungu hakuna nchi hata moja ya Africa inayosupoort Nato ni vile hazijioneshi tu but kiundani nchi karibia zote za Africa kwenye huu mgogoro zinamsupport Urusi, kwa history walichotufanyia hawa jamaa na wanachofanya kwenye dunia lazima tumupport Russia
 
Ukweli ni kwamba ni
HakiaMungu hakuna nchi hata moja ya Africa inayosupoort Nato ni vile hazijioneshi tu but kiundani nchi karibia zote za Africa kwenye huu mgogoro zinamsupport Urusi, kwa history walichotufanyia hawa jamaa na wanachofanya kwenye dunia lazima tumupport Russia
Wavaa kobasi pekee na walio wengi ndio wanamuunga mkono Mrusi.
 
HakiaMungu hakuna nchi hata moja ya Africa inayosupoort Nato ni vile hazijioneshi tu but kiundani nchi karibia zote za Africa kwenye huu mgogoro zinamsupport Urusi, kwa history walichotufanyia hawa jamaa na wanachofanya kwenye dunia lazima tumupport Russia
Gaykraine aache kutumia nguvu kuzishawishi nchi za Afrika ambazo zinajionesha dhahiri kuwa ziko upande wa Urusi, yeye anatakiwa aongee na mashoga wenzake tu huko kwengine.
Huu mchongo wa kupigiwa simu umekuja baada ya Rais wa Italia kuitembelea Msumbiji ndio akawaunganisha lkn Zele kaambulia patupu.
Nalog off Z
 
Gaykraine aache kutumia nguvu kuzishawishi nchi za Afrika ambazo zinajionesha dhahiri kuwa ziko upande wa Urusi, yeye anatakiwa aongee na mashoga wenzake tu huko kwengine.
Huu mchongo wa kupigiwa simu umekuja baada ya Rais wa Italia kuitembelea Msumbiji ndio akawaunganisha lkn Zele kaambulia patupu.
Nalog off Z
Huyo ZeleGaynski aache ujinga wake mara moja
 
We the people of Tanzania we support you in this self defense war against USA and NATO who have brought devastating outcomes to mankind globally since 19centuty we the Tanzanias we ask the Russian ambassador to Tanzania to pass throughout all social media and see how Tanzanians and africans in large scale how much we support you!! Russia is a true superpower and our dear Ally.
You do not have an authority to speak on behalf of all Tanzanians!
 
Back
Top Bottom