Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,264
- 678
Katika hali inaonesha kutolidhika na pingamizi aliloweka mwaka 2010 dhidi ya Dr Slaa kumchukulia mke wake
Mr Aminiel Mahimbo akiongea na gazeti la Rai amesema anapeleka pingamizi kwa Pengo ili azuie ndoa ambayo inategemewa kufugwa tarehe 21 july.
Mr Mahimbo amaongeza zaidi kuwa alikuwa kimya muda mrefu maana bado alikuwa anatafakari kupata mwafaka
kutaka kwa Dr Slaa kumrudishia mke wake
Mwandishi wa Rai alimuuliza zaidi, kwanini wewe usiyamalize na Dr slaa badala ya kweyapeleka kwa pengo? Mahimbo alisema Dr Slaa anajiandaa kufunga ndoa tarehe 21 july njia rahisi ni kuwafikisha kwa pengo ili wazuie ndoa hiyo.
:israel::israel::israel:
Sosi:Rai nguvu ya Hoja
Mr Aminiel Mahimbo akiongea na gazeti la Rai amesema anapeleka pingamizi kwa Pengo ili azuie ndoa ambayo inategemewa kufugwa tarehe 21 july.
Mr Mahimbo amaongeza zaidi kuwa alikuwa kimya muda mrefu maana bado alikuwa anatafakari kupata mwafaka
kutaka kwa Dr Slaa kumrudishia mke wake
Mwandishi wa Rai alimuuliza zaidi, kwanini wewe usiyamalize na Dr slaa badala ya kweyapeleka kwa pengo? Mahimbo alisema Dr Slaa anajiandaa kufunga ndoa tarehe 21 july njia rahisi ni kuwafikisha kwa pengo ili wazuie ndoa hiyo.
:israel::israel::israel:
Sosi:Rai nguvu ya Hoja