Jamani huyu bwana alipewa nafasi ya kuitetea ndoa yake na kuleta mashahidi ambao walimuangamiza kabisa kwa kumueleza yeye ni nani.
Alishindwa kuitetea ndoa kwa wazee wa kanisa na wakaridhia iende mahakamani ndani ya miaka miwili tumelishughulikia hili na hatimae mahakama ikaendesha shauri kwa miezi minne,na aliposhindwa kuishawishi mahakama .
Nilipokea Talaka yangu kwa kupitia taratibu zote.
Kama ulipokea talaka kupitia taratibu zote, iweje leo bwana Mahimbo aakusudie kupeleka barua ya pingamizi na malalamiko kwa Kardinali Pengo? na kama ni kweli hiyo Talaka ilitoka kwa bwana Mahimbo iweje aendelee kupinga kusudio lenu la kufunga ndoa tarehe 21/07/2012.
Pia kwanini huoni kama uliingilia Ndoa ya Dr. Slaa na mwanachama mwenzako wa CHADEMA Mama Rose kamili, ambaye nae ameamua kuweka pingamizi mahakamni?
kwanini hamtaki kukubali kwamba mahusiano yenu hayana baraka mbele za Mungu na hata jamii kwani kila upande wa mahusiano ya awali ambako mnatokea kuna malalamiko?
mimi namshangaa Josephine anafikiri atakuwa first lady hajijuhi kama yeye ameumbwa unyani anautaka ungedere ,Josephine nakushauri rudi kwa mumeo laana ya ndoa inafuatilia maisha yako hamtadumu kamwe!
Kuna thread jana niliwaambiwa mnapotaka kujua mambo ya kanisa katoliki basi inabidi mjipinde kusoma. Kwa mvivu wa kusoma na bingwa wa kuropoka basi kwa Kanisa katoliki utakuwa unaumbuka kila siku.
Wenzenu magazeti ya Ulaya na America wameweka waandishi maalumu kwa ajili ya kusoma na kulielewa kanisa katoliki na inapotokes issue ya Kikatoliki hawawi wababaishaji.
Inaelekea ndoa hii itafungwa kanisani. Kama ni hivyo basi kanisa Katoliki huwa linaangalia mambo yafuatayo.
Kwanza ndoa ni Sakramenti ambayo padre haitoi bali mke anampa mume na mume anampa mke. Ukishapewa Sakremant basi haiondoki hadi kifo chako.
Kitakachofanyika ni ndoa kutangazwa kama kuna kipingamizi. Na vipingamizi ni hivi kwamba labda mhalifu alifungia ndoa jimbo lolote duniani halafu akaja jimbo jingine na kudanganya.
Kinachotakiwa hapo ni kutaja tu diocese mtu aliyofungia ndoa na wala huna haja ya kuleta ushahidi kwani padri wa parokia {Paroko} iliyofungwa ndoa atapigiwa simu na kujulishwa alete kopi ya rekord za ndoa ile.
Kama hakuna kipingamizi hakuna kizuizi cha kuzuia ndoa isifungwe.
Kwa Dr. Slaa na Josephine sijajua watafungia ndoa yao jimbo gani. Lakini kwa sheria za kanisa Dr. Slaa hajafikisha miaka mitano ya makazi yake jijini D'Slaam, hivyo nasita kusema kuwa kikanisa yeye ni mkazi wa Archdiocese of D'Salaam.
Ni wazi bado anahesabika kuwa yeye ni Maktoliki wa Jimbo la Mbulu kwa Askofu Beatus Kinyaiya na si mkazi wa D'Salaam kwa Askofu Polycarp Pengo.
Hivyo hata kama ingekuwa issue inapelekwa kwa askofu ni ujinga kuipeleka kwa Pengo wakati Dr. Slaa hajawa muumini wake. Ningemuona huyu jamaa ana uelewa kidogo kama ningesikia anadhamiria kumuona Askofu Kinyaiya.
Lakini je anatakiwa kufikisha kwa askofu?
Ukweli ni kwamba wanaomuelekeza huyu mtu wanazidi kumpa Dr. Slaa sifa. Wanasahau kwamba Dr. Slaa ni mtaalamu mkuu wa Sheria za kanisa Katoliki katika level ya Phd. Ikibidi Dr. Slaa anaijua vizuri Sheria za Kanisa kuliko maaskofu wengi ikibidi kuliko wote.
Hivyo, nikisikia kuwa anafunga ndoa Kanisani sishangai na najua haitakuwa na kipingamizi.
Vilevile suala hili ni dogo sana ambalo liko mikononi mwa Padri atakayewafungisha ndoa. Usipolielewa kanisa Katoliki unaweza kudhani kwamba Askofu ni kama bosi wa Jimbo hivyo anaweza kuzuia sakrament.
Sivyo. Sakrament hutolewa na padri kwa niaba ya Yesu hivyo hakuna mtu hapa duniani wa kuzuia kama haina kipingamizi cha imani.
Yeye aende kwa Polycarp Pengo, ikibidi apande ndege hadi Vatican aeleze suala lake. Lakini kama Josephine hajawahi kufunga ndoa ndani y aKanisa Katoliki basi huyu bwana na washabiki wake imekula kwao.
Polycarp Pengo atamkaribisha vizuri, atapewa juice, chai na keki kama zipo. Ataona sanamu nyingi nz nzuri za Bikira maria zilivyopambwa pale na Rozari, kisha Pengo atakuja.
Wataongea naye na Pengoa atakachofanya atamfundisha katekism ya Kanisa katoliki kuhusu mambo ya ndoa. Ikibidi atamshauri aonyeshe upendo kwa kuhudhuria misa ya ndoa ya Mkatoliki aitwaye Wilbrod Slaa na Josephine Mushubusi.
Dr. Kupenge! nadhani hujui historia ya maisha ya Mahimbo na aliyekuwa Mke wake Josephine. Nikweli walifunga ndoa Kijitonyama Lutherani na walibahatika kupata watoto 2 lakini walitengana muda mrefu sana, mahimbo kwanza ni cha pombe alikuwa na wanawake wengi alifikia kuleta wanawake kwenye nyumba aliyoijenga Josephine ipo Kimara, huyu ni mwanaume wa aina gani??
Kifupi Josephine alipofunga ndoa na Mahimbo alipata kazi za kuhudumia wakimbizi kwenye makambi huko Kigoma pamoja na biashara zake nyingine aliweza kununua kiwanja akitegemea kuwa mumewe atamsaidia kwenye ujenzi lakini ilikuwa ni kinyume Josephine akipaa pesa akimtumia mume aendeleze ujenzi zinaishia kwenye pombe na wanawake, ikafikia hatua dada yake mahimbo akaingilia kati kuijenga kunusuru hilo, alishirikiana na wifi yake ambaye ni Josephine anawa anatumiwayeye pesa anaendeleza ujenzi hadi nyumba ikaisha, baada nyumba kuisha mahimbo aligoma kuhamia kule akasema hawezi kuishi kwenye nyumba ya mwanamke akawa anaendelea kupanga sinza, na ieleweke aliye mtafutia kazi bandarini mahimbo ni mashemeji zake yaani Kaka wa Josephine na mume wa dadayake Mahimbo.
hali iliendelea kuwa hivyo kila kukicha kesi kanisani,kwa wazee wa kanisa hata wana familia pia, mwishiwe josephine akajiamulia kuondoka na walitengana kwa muda mrefu miaka 5 kila mtuyuko kivyake na mahimbo anaishi na mwanamke mwingine na wanawatoto sasa anachopinga mwenzie asiolewe wakati yeye ameoa ni nini??
mimi ni mtu wa karibu sana na Mahimbo na kwa taarifa yako ni kweli Mahimbo anatumiwa na CCM hata sie tulisha muonya hataki kusikia ile nyumba ya josephine alioijega anaingangania ni yake wakati Josephine alishaiandikisha majina ya watoto wake ila mahimbo anataka kwenda kubadilisha hati aweke jina lake na huyo mwanamke anaeishi nae, ndipo ugomvi ulipoanzia hapo.
ikiwa wewe ni mwanamke utaweza kuishi na kiumbe huyu??? ujenge nyumba halafu uletewe wanawake ndani ya nyumba waototo wamo ndani je ni picha gani kwa watoto ama unawafundisha nini wanao??
sasa imekuwaje anaenda kwa pengo?
Mahimbo Anatumika
Katika hali inaonesha kutolidhika na pingamizi aliloweka mwaka 2010 dhidi ya Dr Slaa kumchukulia mke wake
Mr Aminiel Mahimbo akiongea na gazeti la Rai amesema anapeleka pingamizi kwa Pengo ili azuie ndoa ambayo inategemewa kufugwa tarehe 21 july.
Mr Mahimbo amaongeza zaidi kuwa alikuwa kimya muda mrefu maana bado alikuwa anatafakari kupata mwafaka
kutaka kwa Dr Slaa kumrudishia mke wake
Mwandishi wa Rai alimuuliza zaidi, kwanini wewe usiyamalize na Dr slaa badala ya kweyapeleka kwa pengo? Mahimbo alisema Dr Slaa anajiandaa kufunga ndoa tarehe 21 july njia rahisi ni kuwafikisha kwa pengo ili wazuie ndoa hiyo.
:israel::israel::israel:
Sosi:Rai nguvu ya Hoja
Dr. Kupenge! nadhani hujui historia ya maisha ya Mahimbo na aliyekuwa Mke wake Josephine. Nikweli walifunga ndoa Kijitonyama Lutherani na walibahatika kupata watoto 2 lakini walitengana muda mrefu sana, mahimbo kwanza ni cha pombe alikuwa na wanawake wengi alifikia kuleta wanawake kwenye nyumba aliyoijenga Josephine ipo Kimara, huyu ni mwanaume wa aina gani??
Kifupi Josephine alipofunga ndoa na Mahimbo alipata kazi za kuhudumia wakimbizi kwenye makambi huko Kigoma pamoja na biashara zake nyingine aliweza kununua kiwanja akitegemea kuwa mumewe atamsaidia kwenye ujenzi lakini ilikuwa ni kinyume Josephine akipaa pesa akimtumia mume aendeleze ujenzi zinaishia kwenye pombe na wanawake, ikafikia hatua dada yake mahimbo akaingilia kati kuijenga kunusuru hilo, alishirikiana na wifi yake ambaye ni Josephine anawa anatumiwayeye pesa anaendeleza ujenzi hadi nyumba ikaisha, baada nyumba kuisha mahimbo aligoma kuhamia kule akasema hawezi kuishi kwenye nyumba ya mwanamke akawa anaendelea kupanga sinza, na ieleweke aliye mtafutia kazi bandarini mahimbo ni mashemeji zake yaani Kaka wa Josephine na mume wa dadayake Mahimbo.
hali iliendelea kuwa hivyo kila kukicha kesi kanisani,kwa wazee wa kanisa hata wana familia pia, mwishiwe josephine akajiamulia kuondoka na walitengana kwa muda mrefu miaka 5 kila mtuyuko kivyake na mahimbo anaishi na mwanamke mwingine na wanawatoto sasa anachopinga mwenzie asiolewe wakati yeye ameoa ni nini??
mimi ni mtu wa karibu sana na Mahimbo na kwa taarifa yako ni kweli Mahimbo anatumiwa na CCM hata sie tulisha muonya hataki kusikia ile nyumba ya josephine alioijega anaingangania ni yake wakati Josephine alishaiandikisha majina ya watoto wake ila mahimbo anataka kwenda kubadilisha hati aweke jina lake na huyo mwanamke anaeishi nae, ndipo ugomvi ulipoanzia hapo.
ikiwa wewe ni mwanamke utaweza kuishi na kiumbe huyu??? ujenge nyumba halafu uletewe wanawake ndani ya nyumba waototo wamo ndani je ni picha gani kwa watoto ama unawafundisha nini wanao??
Katika hali inaonesha kutolidhika na pingamizi aliloweka mwaka 2010 dhidi ya Dr Slaa kumchukulia mke wake
Mr Aminiel Mahimbo akiongea na gazeti la Rai amesema anapeleka pingamizi kwa Pengo ili azuie ndoa ambayo inategemewa kufugwa tarehe 21 july.
Mr Mahimbo amaongeza zaidi kuwa alikuwa kimya muda mrefu maana bado alikuwa anatafakari kupata mwafaka
kutaka kwa Dr Slaa kumrudishia mke wake
Mwandishi wa Rai alimuuliza zaidi, kwanini wewe usiyamalize na Dr slaa badala ya kweyapeleka kwa pengo? Mahimbo alisema Dr Slaa anajiandaa kufunga ndoa tarehe 21 july njia rahisi ni kuwafikisha kwa pengo ili wazuie ndoa hiyo.
:israel::israel::israel:
Sosi:Rai nguvu ya Hoja
Mahimbo Anatumika
Wanaizuia kwa sheria ipi? Ya kidini (ambayo inamzuia Dr. Slaa kuoa bila kupata kibali toka kwa Pope kutokana na ngazi ya utumishi aliyokuwa ameifikia) au kwa kuwa anamuoa mke wa mtu?[/QUOTE]
Labda! Lakini pengine nafasi aliyonayo pia inaweza ikawa sababu!
Walimtumia huyu bwana 2010 but it didnt work, sasa what makes them think that this time atafanikiwa? And assume ndoa haifungwi, ndio kusema Josephine atarudi kwake? Halafu huyu bwana si alishapata talaka?
But also the timing. Rose Kamili anaweka pingamizi, na huyu bwana naye anaweka pingamizi!! mmm.....
Katika hali inaonesha kutolidhika na pingamizi aliloweka mwaka 2010 dhidi ya Dr Slaa kumchukulia mke wake
Mr Aminiel Mahimbo akiongea na gazeti la Rai amesema anapeleka pingamizi kwa Pengo ili azuie ndoa ambayo inategemewa kufugwa tarehe 21 july.
Mr Mahimbo amaongeza zaidi kuwa alikuwa kimya muda mrefu maana bado alikuwa anatafakari kupata mwafaka
kutaka kwa Dr Slaa kumrudishia mke wake
Mwandishi wa Rai alimuuliza zaidi, kwanini wewe usiyamalize na Dr slaa badala ya kweyapeleka kwa pengo? Mahimbo alisema Dr Slaa anajiandaa kufunga ndoa tarehe 21 july njia rahisi ni kuwafikisha kwa pengo ili wazuie ndoa hiyo.
:israel::israel::israel:
Sosi:Rai nguvu ya Hoja
Naam baada ya chake kutumiwa!