A. Mahimbo apeleka pingamizi kwa Pengo dhidi ya Dr Slaa


Mjadala ulitakiwa uishe baada ya majibu haya.
 
Sasa hapo inabidi rose kamili na mahimbo nao waoane ili kumkomesha Dr. slaa na mchumba wake josephine.
 


Kila mtu ana wajibu wake katika ndoa yawezekana Mahimbo alishindwa kutimiza wajibu wake katika ndoa yao.
 
mimi namshangaa Josephine anafikiri atakuwa first lady hajijuhi kama yeye ameumbwa unyani anautaka ungedere ,Josephine nakushauri rudi kwa mumeo laana ya ndoa inafuatilia maisha yako hamtadumu kamwe!

Huko unaenda mbali ungeelewa kwanza kakimbia nini ndo utoe usahauri. Kama alikua ananyanyaswa unamshauri arudi tena kwenye mateso.
 

Hapo nimeelewa sina la ziada.
 

Huyu mwanaume katili sana aise.
 
unatuaibisha wanaume mwanamke kama hakutaki mwache najua utaumia moyoni lakini uapaswa kupiga moyo konde sahau jambo hilo sasa hata ukirudishiwa mke wako utaishi nae vipi
 

Hivi ile mihela aliyodai ya fidia alishalipwa?
 

kama haya unayoyasema ni kweli huyu mahimbo hafai hata..... Anadhalilisha wanaume wenzie........Na sura yake tuinaonyesha ni cha pombe.....
 

gfsonwin, hebu njoo huku uone wale wanaofanywa mapoyoyoyo na mapenzi. Mimi sina uvumilivu wa kukubali nirejeshewe chombo kinachoendelea kutumiwa na mwenzangu.
 
 


Mbona kila kitu kiko wazi hapo?
- Kama mtu ananyanganywa haki yake si ana haki ya kuidai?
- Timing ipi? Kwani si wanataka kuowana nao wote wawili hawajakamilisha taratibu zitakazowafanya wawe huru kuowana?

Angalau mapenzi ya kina Slaa lakini haya ya wengine tena yanawapofuweni macho!
 

Wewe misheni town mbona ulianza kuoa kabla hata Jose hajaolewa? Leo Jose kawa mzuri wakati ulikuwa unamtukana tena unachanganya na watoto wako wa kuzaa unatukana? Acha Jose ale Raha kwa staili yake, ni kutesa kwa zamu, ni kula bata kwa zamu? Mke unamkumbuka leo baada ya miaka yote hiyo? Ulikuwa wapi? Hujui kisheria kama hujawahi fanya tendo la ndoa na mke or say be in matrimonial bed for the period not less that 24 months siyo mke huyu? Nenda darasa la memkwa la sheria. Wewe subiri talaka yako toka kwa Jose!!!!! Alipokuletea madai ya talaka ndiyo ulikumbuka kuwa eti umenyang'anywa mke? Huyo ndiyo first lady mtarajiwa hivyo stay away from her and the children you desserted!!!!!
 
huyu jamaa hajatulia ,ni nani anamtuma kufanya mambo ya ajabu uamuzi korti si ulishatolewa .na kwanini aung,ang,anie sehemu ambayo hutakiwi .Oa mwigine wanawake wako wengi kuliko sisi wanaume
 
Huyu si bure anataka aolewe yeye!...waume wengi tu kwani dr.slaa ndo mwanaume pekee?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…