beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
A man has reportedly strangled to death his wife and three children at Marurui area in Roysambu, Kiambu County.
The incident is reported to have occurred in the early hours of Monday morning after which the suspect fled.
The bodies of the woman and the three children aged 14, 8, and 6 were removed from the house after police officers arrived at the scene.
The deceased children who were Class Eight and Four, with the youngest being in Class Two.
Police have since began investigations into the bizarre killing
----------
Mwanaume mmoja amewaua mke wake pamoja na watoto wao watatu wakiwa nyumbani kwao katika eneo la Marurui, Roysambu
Tukio hilo limetokea mapema asubuhi ya leo ambapo baada ya kufanya mauaji hayo mwanaume huyo alikimbilia kusikojulikana
Sababu ya kufanya hivyo bado haijajulikana lakini Polisi wameshaanza uchunguzi ili kubaini alipokimbilia Mtuhumiwa na sababu ya kufanya tukio hilo
Watoto hao walikuwa na umri wa miaka 14, 8 na 6 na walikuwa wakisoma darasa la 8, la nne na la pili
The incident is reported to have occurred in the early hours of Monday morning after which the suspect fled.
The bodies of the woman and the three children aged 14, 8, and 6 were removed from the house after police officers arrived at the scene.
The deceased children who were Class Eight and Four, with the youngest being in Class Two.
Police have since began investigations into the bizarre killing
----------
Mwanaume mmoja amewaua mke wake pamoja na watoto wao watatu wakiwa nyumbani kwao katika eneo la Marurui, Roysambu
Tukio hilo limetokea mapema asubuhi ya leo ambapo baada ya kufanya mauaji hayo mwanaume huyo alikimbilia kusikojulikana
Sababu ya kufanya hivyo bado haijajulikana lakini Polisi wameshaanza uchunguzi ili kubaini alipokimbilia Mtuhumiwa na sababu ya kufanya tukio hilo
Watoto hao walikuwa na umri wa miaka 14, 8 na 6 na walikuwa wakisoma darasa la 8, la nne na la pili