gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,272
- 20,692
Matokeo ntakupa asee, yaani bila ubishi. Aaah wapi kwani mi mchezaji wa simba au Yanga nishindie chipsi mayai?
Mi napiga vyakula vya uhakika sio vya ki-dada du na kisharobaro..🙂
haya bana nita kupm saa kumi na mbili na nusu kupata matokeo. mkuu.