A matured man needed for marriage

Unatafta mfadhili wako wa maisha...hahhaah.
 
Kingereza kinapanda lkn kwa mbinde sijuia ...sijui nitaangaliwa kwa jicho pevu???[emoji53][emoji53]
 
Hakuna ''gentlemen'' wenye umri huo wewe hapa Tanzania, watu wenye umri huo ni wazee kabisa na gentlemen hapa kwetu wana umri wa below 35. Shida zote hizi utampata wapi a really gentleman mwenye umri huo? Hizo age jamaa wamechoka na usipouliza umri utadhani wana above 50 kumbe vijana ila shida mama.
 
Smart physical appearance? Can you detail it?

Are you too that smart physically...

I'm waiting for an answer
 
Mtoto, zama PM mikubebishe. Picha yangu angalia Profile yangu. Njoo fastaa.
 
Nisamehe lakini kama utakuwa umekwazika, kwa huo umri tegemea kupata mme wa mtu
 
Vyote ninavyo mrembo ila kidogo hapo kwenye english bado yangu ni yakuchechemea yani ya hapa na pale. Vipi nije huko au niendelee tu mambo zangu
 
PM me, i have all you are looking for
 
You lost password lugha sio masharti na kigezo cha mwanaume atakae kuoa...unaonekana upo desperate unahitaji mwanaume halafu unaweka na masharti
 
Sasa si ukaolewe na mwingereza mwenzio huko sisi waswahili unatutakia nini jamani na wakati elimu zetu unazijua kabisa.
.
.
Kiswahili tu kinanichenga je hiyo lugha ya watu itakuwaje unadhani?.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Sijui ni apply?? Ila nilishauriwa hapa JF at least ni subiri for 2 years after lost my wife last August. Otherwise. I fit the criteria.
 
I qualify your interest. except am from southen zone of tz.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…