Watu hapa Tz wanapona na kwenda chooni kwa hisani ya watu wa Marekani halafu wanajidai kuisifu Russia.
Wengi wa humu maisha magumu na misaada ya Wamarekani
HakiaMungu hakuna nchi hata moja ya Africa inayosupoort Nato ni vile hazijioneshi tu but kiundani nchi karibia zote za Africa kwenye huu mgogoro zinamsupport Urusi, kwa history walichotufanyia hawa jamaa na wanachofanya kwenye dunia lazima tumupport Russia
Mirembe caseWe the people of Tanzania we support you in this self defense war against USA and NATO who have brought devastating outcomes to mankind globally since 19centuty we the Tanzanias we ask the Russian ambassador to Tanzania to pass throughout all social media and see how Tanzanians and africans in large scale how much we support you!! Russia is a true superpower and our dear Ally.
Kama Unaagiza Kondomu pesa unayo, ila kama unanunua nchi hii jua Marekani wamekusaidia pesa ya TozoNinazo Mimi sisubiri misaada kutoka Marekani Kama nyie mnaoshabikia misaada ya kimarekani.
Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Hapa ndio unapishana na Ukweli. Hii kutegemea kusaudiwa kujenga choo ni UPUMBAVU narudi ni UPUMBAVU waibe dhahabu halafu wajenge madarasa mawili ya shule kuna fairness hapo.Russia hana Russian aid yoyote huyo ambassador aonyeshe hata choo au hata kisima kimoja tu cha maji kidogo au hata darasa moja tu la chekechea vilivyojengwa kwa hisani ya warusi
Hopeless huyo balozi
We don't need your statement go to hell with your Putin
Munaendekeza expansionism kwenye Ulimwengu huu wa wastaarabu unaoheshimu mipaka ya nchi zingine na uhuru wao na kujiamulia mambo yao as a free country
Russia get out of Africa go and park your stupidity at Kremlin Bulding not in Tanzania
Всегда пожалуйстаNatamani kuandika kiRussia ila kuna mapimbi hawataelewa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tanzania imejenga hata Choo nchi gan uko ulaya mpaka wewe unataka ujengewe ndo uone thaman, Madem wa siku hizi bila kuhongwa mnaamini hampendwi eeh!Russia hana Russian aid yoyote huyo ambassador aonyeshe hata choo au hata kisima kimoja tu cha maji kidogo au hata darasa moja tu la chekechea vilivyojengwa kwa hisani ya warusi
Hopeless huyo balozi
We don't need your statement go to hell with your Putin
Munaendekeza expansionism kwenye Ulimwengu huu wa wastaarabu unaoheshimu mipaka ya nchi zingine na uhuru wao na kujiamulia mambo yao as a free country
Russia get out of Africa go and park your stupidity at Kremlin Bulding not in Tanzania
We baba umekomalia misaada mbona, He who feeds You controls you.Mrusi katusaidia msaada gani kuendelea wa maendeleo?
Kazi yake kuuza mibomu tu na mifaru ya kivita .Watanzania hatuli vifaru au mikombora ya kirusi na wala hatusomei kwenye magari ya kivita ya kirusi kama madarasa na hatutumii vifaru vya kirusi kama vyoo vya shule vya kujisaidia
Ana msaada gani kwenye miradi ya maendeleo ya wananchi ? Urusi hopeless kabisa
Tatizo mnaleta udigitali kwenye Mambo ya msingi, Point ya kupitwa na muda inaonyesha kiasi gan wewe ni limbukeni. Badili pointKujiamulia mambo yako ni pamoja na kujiamulia ujiunge na NATO au Urusi au na Marekani au uombe msaada kwa nani uwe wa shimo la choo ,kivita nk
Urusi bwege anapigana vita ohh sitaki Ukraine ijiamulie mambo yake ijiunge na nani au iombe msaada kwa nani!! Si ujinga huo
Halafu anapiga mibomu Donbas region kushinikiza wajiunge na yeye!!!
Katika modern world mrusi ndio hopeless namba one asiyejielewa.Siasa za expansionist zimepitwa na wakati.Hata Afrika tulishaacha vita hizo za machifu Miaka hiyo akina chifu Mirambo,Mkwawa, Chabruma ,Mangi Meli nk kupigana ku extend their territories!! Putin Hopeless kabisa
Anapigana vita zilizopitwa na wakati za enzi za akina Hitler the expansionist war dog
Hivi Condom nayo ni point? Hiki chama kinazaa Chawa wa ajabu sana ambao badae wataikabidhi hii nchi iwe kijiji cha Marekani rasmi.Kama Unaagiza Kondomu pesa unayo, ila kama unanunua nchi hii jua Marekani wamekusaidia pesa ya Tozo
KudangaRussia hana Russian aid yoyote huyo ambassador aonyeshe hata choo au hata kisima kimoja tu cha maji kidogo au hata darasa moja tu la chekechea vilivyojengwa kwa hisani ya warusi
Hopeless huyo balozi
We don't need your statement go to hell with your Putin
Munaendekeza expansionism kwenye Ulimwengu huu wa wastaarabu unaoheshimu mipaka ya nchi zingine na uhuru wao na kujiamulia mambo yao as a free country
Russia get out of Africa go and park your stupidity at Kremlin Bulding not in Tanzania
Problem is huna mandate hiyo. To him you are just another random person ambae una claim kuwa una speak on behalf of tanzania.We the people of Tanzania we support you in this self defense war against USA and NATO who have brought devastating outcomes to mankind globally since 19centuty we the Tanzanias we ask the Russian ambassador to Tanzania to pass throughout all social media and see how Tanzanians and africans in large scale how much we support you!! Russia is a true superpower and our dear Ally.
we all support Russia, because we don't need gays generation to our continent!!HakiaMungu hakuna nchi hata moja ya Africa inayosupoort Nato ni vile hazijioneshi tu but kiundani nchi karibia zote za Africa kwenye huu mgogoro zinamsupport Urusi, kwa history walichotufanyia hawa jamaa na wanachofanya kwenye dunia lazima tumupport Russia
Sasa Kenya nae NI wakupigia mfano [emoji2][emoji3][emoji1]. nikajua utataja Congo,misri ,Algeria ,Tanzania ,Uganda ,Ghana ,south Africa,Sudan ,Ethiopia , Nigeria, n.kUnataka speech ya balozi wa Kenya UN akilaani uvamizi wa Urusi??
All, means you and who? Never say all because you don't have any quality of representing me. It is only stupid guys of your like, not all. Get it you fool and your peers!..we all support Russia, because we don't need gays generation to our continent!!
zele ni shoga ,hivyo apigwe tu maana ni hasara kwa dunia na ustawi wake!!
yaani najiskia aibu kuona ,kijana wa kitamzania ambae tunasema taifa la kesho anaona ni msaada kuletewa kondom [emoji24][emoji24].Kama Unaagiza Kondomu pesa unayo, ila kama unanunua nchi hii jua Marekani wamekusaidia pesa ya Tozo
Siyo wa TZ. Ni haya majuha yasiyojitambua, yanayofanya mitihani ya multiple choice halafu yanajiita yamefaulu na kuotka chuo hata kuandika hayajui!. Hakuna mtu mwenye akili timamu atajipa usemaji wa taifa na eti Africa nzima. Ni majitu mpaumbavu tu na haya haya nidyo yanyorudisha maendeleo nyuma kwa sababu ya upumbavu vichwani!.... sera ya nje ya Tanzania imebadilika siku hizi? To stand with the oppressed? Leo mmeamua kuwa upande wa oppressors?
Aisee, aibu nazipata Mimi! Sikutarajia hili kutoka kwako.Russia hana Russian aid yoyote huyo ambassador aonyeshe hata choo