A message to the Russian ambassador to Tanzania

You are stupid like Putin
 
All, means you and who? Never say all because you don't have any quality of representing me. It is only stupid guys of your like, not all. Get it you fool and your peers!..
Uko sahihi kabisa mtu mwenye akili timamu hawezi muunga mkono mrusi
 
Kuna watu mmeelimika hapa Tz mpaka tunawataman wenye akili za kawaida siye[emoji849]
 
Kwanza balozi wa urusi ni mrusi, sijui kama kiingereza anakijua au wewe uende kwake kumtafsiria.
Pili, hatujawahi kuwa na kikao cha pamoja kuijnga mkono urusi, wewe ni muongo unamdanganya balozi.
 

Nadhani umedandia Treni kwa mbele Bwashee...

Soma uelewe zaidi
 
Hivi Condom nayo ni point? Hiki chama kinazaa Chawa wa ajabu sana ambao badae wataikabidhi hii nchi iwe kijiji cha Marekani rasmi.

Kila anaejibu usidhani ni chawa, Btw maamuzi ya mtu kuwa chawa wewe yanakuumiza nini?
 
NATO waende wakamsimamishe wanasubiri nini !!!??
RUSSIA TAIFA TEULE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…