A New Ladies undewear shop opened recently in Zanzibar

mmmhh asante sana..
lakini mmhh nataka kumwalika REV atufungishe.
naona mwaka huu kabadilika sana..


Mchungaji ni mfungishaji mzuri sana wa harusi na ana uzoefu mkubwa tu.
 
B careful, Rev anaweza ku test machine ili afungishe ndoa, kabadilika kawa mwanamke?, ebu nenda uje useme, u never know:deadhorse::deadhorse::A S 12::A S 12:

Hii imetulia sana!
 
Mchungaji nashukuru sana kwa kutupa taarifa za duka hilo na mimi ngoja nikamchukulie moja mama Khadija!!!
 
mmmmhh afadhali hata umekuja kunikomboa..
mie hiyo ya tatu kutoka kushoto au ya pili kutoka kulia ndo nataka...
size mmmhhhh ntakuacha utumie ufundi wako hapo lol
usiniangushe hahahahh lol

Sawa sawa unataka rangi gani sasa?
 
mmmmhhhhh lakini Rev si ninatakiwa nifanye mafundisho kwanza kabla ya ndoa????
au vipi???

Huyu tayari mme wa mtu lakini si mbaya nipo hapa nduguye

Mpwa raha kula na nduguyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…