EwaaaaSio kuchat ni utaratibu tu hapa jf.. Ukishajiunga unaweka picha na namba za simu..
Ndaga ndagaDuuuh,,naish Mbeya wilaya ya KyelaView attachment 1209475
Jomoniiiiusikute wewe ni Diwani Athumani.
DuuuuhSio kuchat ni utaratibu tu hapa jf.. Ukishajiunga unaweka picha na namba za simu..
Ndaga nkamu gwanguNdaga ndaga
Pia ukitoa namba unaungwa kwenye group la WhatsApp la members wa jf, huko kuna mambo mazuri usijepitwa bibieDuuuuh
DuuuhMimi nipo nazunguka huku na kimswaki changu cha mti na kopo la maji plus uluzi
Njoo uletevp mume unahitaji au huitaji kuolewa?...maana nataka nilete maombi
Jf sio kama facebook.. Huku wote ni viongozi wa serekalini kuanzia madiwani mpaka mawaziri..Duuuuh
Jmn cjafunga mieNimekuchek pm ila imefungwa.
Nani kakufundisha kufunga PM ungali mgeni jf
DuuuuuuhNakuombea kila la kheri..usije siku ukataman kufuta picha zako
Nimekuchek pm ila imefungwa.
Nani kakufundisha kufunga PM ungali mgeni jf
UlimkafuNdaga nkamu gwangu
Aaaah wpDuh ww unataka kutukamata nn
Hpo umenidanganya jomonJf sio kama facebook.. Huku wote ni viongozi wa serekalini kuanzia madiwani mpaka mawaziri..
Unamuona huyo Meeyah ni mkuu wa wilaya ya kisarawe
Mimi ni katibu kata wa Chinja chini..
Tunasema uweke namba zako kwaajili ya sababu za kiusalama na pia kukamilisha usajili wako