A New Music FYI...

A New Music FYI...

Status
Not open for further replies.
Waheshimiwa, tayari imewekwa kwenye cha kuchezea inasubiriwa kubonyeza "Play" tu. Tatizo ni kuwa Ndugu yetu "invisible" leo hakuonekana kabisa (what an irony!). Hivyo vyanzo muhimu vikasema kwa vile tumesema ni leo basi lazima iwe leo. Hivyo muda mfupi uliopita nakala nyingine ya CD nimeambiwa imeshapitwa "kwenye njia mbadala" na nimecheki na njia hiyo na wamenihakikishia wamepokea; na hivyo kwa sababu kuna tracks karibu 14 (itawachukua weekend nzima au wiki nzima kusikiliza) ndiyo wanajiandaa kuicheza. Ninyi kama mimi nasubiri kwa hamu kwani wamenikatalia hata kudokeza kilichomo humo na ninasubiri hivyo hivyo.

Mvumilivu hula mbivu...



Look man

KLHNEWS ipo sasa why wait for JF?

Acheni kutuchezea hapa...bora ningeenda Blockbuster nikarent DVD
 
MMwanakijiji sawa tumeuona muziki kule KLH lakini hii posting mie naona hii ni nyepesi, au ndio weekend imeanza hivyo?
 
Hii thread bora ifungwe tu kwa sasa kama mambo hayaendis sawa kwa upande wa 'ma djs'.... naona watu hasira zinazidi kuwashuka... wengine tumeishiwa cartons za bud, naona wakina Game nao wameshachelewa hata kwenda pub huko waliko... mods, inabidi wafanye wajualo hivi sasa, otherwise tunakuwa tuna precipitate chaos kwenye thread hii...

SteveD.
 
Nasikia umeme umekatika ndio maana mDj wote Mwanakijiji na wengine wameshindwa kucheza music kama walivyoahidi. Si mtuambie tuchangie Jenerata au solar Panel.. Lol
 
I give up jamani.. labda naona niwaombe wailete huku; wao walitaka kufanya "defiance" ya kuleta hapa hapa JF baada ya kutufungia na nisingependa kunyakua ujiko huo.

Inavyoonekana na kutokana na ushauri wa "Invisible" wamependendekeza iwe Usiku wa kuamkia Jumapili, ili watu wakiamka jumatatu wakutane nayo.

Samahani kwa usumbufu na kungojea; well things happen.
 
I give up jamani.. labda naona niwaombe wailete huku; wao walitaka kufanya "defiance" ya kuleta hapa hapa JF baada ya kutufungia na nisingependa kunyakua ujiko huo.

Inavyoonekana na kutokana na ushauri wa "Invisible" wamependendekeza iwe Usiku wa kuamkia Jumapili, ili watu wakiamka jumatatu wakutane nayo.

Samahani kwa usumbufu na kungojea; well things happen.

Sorry for this,
Hakukuwa na sababu yeyote ya msingi kututangazia kama producer alikuwa hajamaliza kufyatua hiyo CD You have really distorted the mood of JF members na sijui utasema kitu gani tuweze kusamehe kwa hilo. Binafsi niko dissappointed maana nimeacha vitu vingi kwa sababu ya huu music then ..... sijakubali samahani na sitoikubali
 
Juzi nimesoma hapa kuwa kina kibao kipya cha muziki kingetoka ijumaa. Mpaka sasa sijaona kitu, naomba msaada toka kwa yeyote mwenye taarifa za kuweza kunisaidia kuusikia muziki huo.
 
Sorry for this,
Hakukuwa na sababu yeyote ya msingi kututangazia kama producer alikuwa hajamaliza kufyatua hiyo CD You have really distorted the mood of JF members na sijui utasema kitu gani tuweze kusamehe kwa hilo. Binafsi niko dissappointed maana nimeacha vitu vingi kwa sababu ya huu music then ..... sijakubali samahani na sitoikubali

MUSIC REQUEST.....
 
Sorry for this,
Hakukuwa na sababu yeyote ya msingi kututangazia kama producer alikuwa hajamaliza kufyatua hiyo CD You have really distorted the mood of JF members na sijui utasema kitu gani tuweze kusamehe kwa hilo. Binafsi niko dissappointed maana nimeacha vitu vingi kwa sababu ya huu music then ..... sijakubali samahani na sitoikubali

Natoa pendekezo/Hoja!

"Mwanakijiji apewe Karipio kali kwa kusumbua hali ya hewa na kuhatarisha matumbo yetu yakajawa na uharo kwa ajili ya Munkari" Pamoja na Karipio, apigwe faini kali ya kutunga shairi kumsifu Lowassa!🙄
 
Where's The Cd?jumapili Usiku (kwa Kiswahili,but In Fact Ni Monday Morning Hapa)si Ndio Hii,au Ilimaanisha Jumapili Ijayo?
 
Udaku na Mdaku utamuelewa tu. Hii ndio ile ukisikia "suspense promotion" ya udaku. Ikifika wakati wa kusikiliza huo mziki unakuta nyimbo ni utumbo na mashairi ya kusadikika. Kuna watu mahodari wa kazi zao.

Wewe umbea utakushinda! kama recording studio zako ni mbovu basi unaweza kuungana na Komba kwenye tot plus zake na utuachie miziki yetu wana JF.... grrrrrrrrr

Ukiongelea mziki unanikumbusha Mzee Ruksa alipotembelea Moshi akaimbiwa Taalabu. Hatari kubwa. Nyimbo yenyewe ilikuwa inaitwa "mgonjwa poleeee eeeheeeeh mgonjwa polleeeee".

Mungu walai.

Jamani muziki unachelewa sasa mpaka tunaanza kupoteza muda na mafisadi kina Dar Es Salaam (memba JF) AKA .... in the process.

Mkjj, weka vitu mkuu!

Eeeeeh walimwengu, nilisema hayo hapo juu, nikashutumiwa, nikaitwa fisadi, nikapondwa! Sasa kiko wapi?

Nimewasamehe wote mlioniponda lakini inaonyesha nniliweza kuona mbali zaidi yenu, msamaha wenu mkiuleta ntaupokea na mkileta nyodo ntazipokea vile vile.
 
Friday day, friday night
saturday day, saturday night
sunday day, sunday night
monday day, monday night.

mkijiji, umepita mpaka ule utabiri wa jesus kufa na kufufuka.

'LIKE JONNAH WAS IN THE BELLY OF THE WHALE FOR THREE DAYS AND THREE NIGHTS' so shall son of the man be...

your prediction is now 4 days and 4 nights and countig, si ingeifuta tu hii thread?

kwi kwi kwi kwi kwiiiiiiiwki

teh teh te he tetetetetete teh
 
Friday day, friday night
saturday day, saturday night
sunday day, sunday night
monday day, monday night.

mkijiji, umepita mpaka ule utabiri wa jesus kufa na kufufuka.

'LIKE JONNAH WAS IN THE BELLY OF THE WHALE FOR THREE DAYS AND THREE NIGHTS' so shall son of the man be...

your prediction is now 4 days and 4 nights and countig, si ingeifuta tu hii thread?

kwi kwi kwi kwi kwiiiiiiiwki

teh teh te he tetetetetete teh

miziki miwili inaendelea right now hapa JF, wa ICJ na wa ATC.

Wewe rudi umwambie bosi wako Jiitu Patel kuwa hii kazi huiwezi!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom